ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
My Take
Watu walihamia Dom Kwa shingo upande ila Kwa hili nampongeza Hayati Magufuli.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo Haina balanced Development yaani 80% ya Mapato yanatoka Mji mmja.
Juhudi za kujenga miundombinu inayokosekana Dodoma iongezwe,kisichukuliwe ndio kichaka cha kukwepa kuishi Dodoma.
Watu walihamia Dom Kwa shingo upande ila Kwa hili nampongeza Hayati Magufuli.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo Haina balanced Development yaani 80% ya Mapato yanatoka Mji mmja.
Juhudi za kujenga miundombinu inayokosekana Dodoma iongezwe,kisichukuliwe ndio kichaka cha kukwepa kuishi Dodoma.