Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni Muhimu sana kwa viongozi wa Nchi kuheshimu Sheria walizoziweka wenyewe kwa matakwa yao.
Hii ni kwa sababu hatukuwalazimisha kuziweka, na ili sheria hizo ziheshimiwe na Wananchi wote basi ni vema Viongozi wakaonyesha Mfano wa kuzitii na kuzifuata
Hii ni kwa sababu hatukuwalazimisha kuziweka, na ili sheria hizo ziheshimiwe na Wananchi wote basi ni vema Viongozi wakaonyesha Mfano wa kuzitii na kuzifuata