Pamoja na lockdown ya Corona, walikuwa wanaota nyumbu na Ngorongoro Crater Tanzania

Pamoja na lockdown ya Corona, walikuwa wanaota nyumbu na Ngorongoro Crater Tanzania

lukoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
2,995
Reaction score
2,246
Wazungu aka Mabeberu wana wivu sana, halafu wanataka kutuaminisha eti harakaharaka haina baraka na kutangulia sio kufika, kama sio wivu nini?

Eti nimesikia miongoni mwa nchi 54 zilizoruhusiwa kuingia Ulaya Tanzania haimo. Huu ni wivu tu! Hawa sio wale waliokuwa wanaota nyumbu na Ngorongoro Crater wakati wako na kwenye Corona lockdown?

Hivi na sisi tukiwafungia watawaona wapi nyumbu na Crater? Mimi nashauri na sisi tuweke ban kuja kuona mlima Kilimanjaro tuone kama hawatakufa hawa!!
 
lukoma, Pale unapokurupuka bila kuwa na basic knowledge ya international affairs.

Kwa hujasema wazungu wa nchi gani?
Halafu it is not as if tz tu ndio yenye mbuga za wanyama.. karibia nchi zote Africa zina vivutio.

+ sisi tunahitaji pesa kutoka kwao kupitia utalii.

Unajua utalii ndio sekta ya pili kuingiza pato kubwa serikalini.
Asilimia kubwa ni wao ndio watalii.
Tunategemeana kwenye hii sekta.. tukiweka kichwa ngumu lazima hii sekta ita struggle kama si kufa kabisa.

So before hujaandika. Ufanye research.

Mwisho. Serikali ya tz haiendeshwi kwa mawazo ya kitoto kama hayo.
 
Cha kuchekesha ni kwamba wenyewe wanaweza kuja kwetu ila sisi tumepigwa ban kuingia kwao[emoji23]
 
Jiwe kaharibu , uchumi
This
20200628_050156.jpeg
 
Amekulupuka sana sekta ya utalii ni sekta nyeti sana, sio ya kuitolea maamuzi ya kilevi
 
Back
Top Bottom