Mpira hauchezwi mdomoni, Raja tayari wameshaingia robo bado nafasi moja.Hakuna cha calculations, mnyama ana toboa mchana kweupe..
Hata sisi tulikuwa tunahitaji pointi 3Tunawaheshimu TP Mazembe lakini Kwa usajili wa Yanga hawa ni size yetu kabisa, tunahitaji point 3 muhimu.
Upo sahihi mkuu, mgunda kwa sasa hana maamuzi ya mwisho na mbaya zaidi mzungu ana kurupuka balaa..Simba ikishinda mechi ijayo itaamsha matumaini.
kiukweli kabisa mimi nilkua muumin mkubwa wa kupinga Simba kuletewa kocha mpya wakati Mgunda katinga group stage kibabe tena kwa kuruhusu magoli machache.
Mlitegemea muwafunge Raja kuwategemea kina Sawadogo?Usajili upi, mudathir yahaya na kisinda au mamadou Doumbia ambaye anasugua benchi ??
Ata wewe utopolo unakandwa leoUlichonifurahisha umedeclare kabisa Kwa Raja hampati hata point moja, mtakwenda kupunguza idadi ya magoli tu.
Ile discipline ya Jana inaitwa Mwana ukome mpaka saa hizi Ahmed Ally hana hamu amelala na kispika chake.
Sasa hesabu si ndio hizo nimeweka hapo kama zitaenda sawa tunatoboa.Mpira hauchezwi mdomoni, Raja tayari wameshaingia robo bado nafasi moja.
Mpira ni hesabu na angalia vizuri hesabu za Raja, angalia kundi la Aly Ahaly wanaburuza mkia, huko siyo mchezo.
Kila la heri SIMBA.Na ndio mpira ulivyo ila kutoboa tuna toboa.
Kinadharia upo sahihi. Ila kimahesabu nafasi ipo sema inategemeana na matokeo ya mechi zisizozihusisha Simba.Simba maneno ni jadi yenu. Mkiingia uwanjani, mambo yanakuwa tofauti kabisa. Matumaini yangeendelea kuwepo, iwapo tu jana mngepata walau sare...