Pamoja na matokeo ya jana ila Simba bado atafuzu kwenda robo fainali

Njia ya Simba kwenda robo bado nyeupe sana, tuliwahi kupoteza mechi tatu kwa margin kubwa ya magoli na bado tukafuzu..
 
Mpira hauchezwi mdomoni, Raja tayari wameshaingia robo bado nafasi moja.

Mpira ni hesabu na angalia vizuri hesabu za Raja, angalia kundi la Aly Ahaly wanaburuza mkia, huko siyo mchezo.
Al Ahly kacheza mechi moja hata Wydad naye kacheza mechi moja wote wanaburuza mkia.
 
Hauna tofauti na mashabiki wa Manchester United, arsenal akidroo mechi 3 uku man city akifungwa na liver af akadroo na Chelsea,sisi man u tutashinda mechi zote tatu tunachukua ubingwa.
Ndugu ilo unaloliwaza! vipers na horoya nao wanawaza hivyo hivyo.
Quality itaamua..
 
Vipers juzi walikuwa pungufu na kukumbusha kijana Halafu hata nae Vipers anawaza kama wewe kwani ikiwa ww umekula kwako tatu ana amini wewe ni kibonde kwenye hili group.
 
Vipers juzi walikuwa pungufu na kukumbusha kijana Halafu hata nae Vipers anawaza kama wewe kwani ikiwa ww umekula kwako tatu ana amini wewe ni kibonde kwenye hili group.
Pamoja na yote ila nafasi ya Simba kwenda ni kubwa sana..
 
Kwa hesabu za vidole inawezekana ila uhalisia unaujua.
Huyo Vipers unaempigia kumfunga home and away alimdindia tp mazembe kwake ukumbuke,
Nendeni tena kinyumenyume muone moto utakaowaka.
 
Pamoja na yote ila nafasi ya Simba kwenda ni kubwa sana..
Hata Vipers nae anasema kama wewe. Sasa hivi mmekuwa kama motivation speakers "heka moja ya matikiti mil 5,ukilima heka 20 una milioni 100",sasa ingia shambani uone.
 
Raja walitaka wawapige kimoja cha heshma, mlipoanza kufukuruta, wakaona wamalize pakiti.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ligi kuu NBC mnapiga hesabu hizihizi.
Ligi ya mabingwa nako hesabu hizihizi kwanini msiwe mnashinda mechi zenu? Mnaombea wengine wawapambanie
 
katika hesabu zenu mkae kwa kutulia horoya na vipers nao Wana hesabu zao
 
Niliyo yasema karibia yanakwenda kutimia.
 
Raja ametushindia mechi ili tupite
Yaani Raja aweze kumfunga Simba Sc uwanja wa Taifa ulitegemea nani antapona hicho kikombe kwenye hili kundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…