Pamoja na Mbeya City FC kuturahisishia Mahesabu ambayo sikuyategemea, bado naendelea Kusisitiza Simba SC atakuwa Bingwa tena kwa mara ya 5

Pamoja na Mbeya City FC kuturahisishia Mahesabu ambayo sikuyategemea, bado naendelea Kusisitiza Simba SC atakuwa Bingwa tena kwa mara ya 5

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum (wa Kimafia) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza (Kuacha) Alama (Points) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
 
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum ( wa Kimafia ) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza ( Kuacha ) Alama ( Points ) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
Kwaiyo wewe utashinda zote zilizobaki sio? Ni punguani pekee anaweza kuongea utumbo huu, mwenzako akishinda anahonga akishindwa ajaonga, wewe ukishinda ujaonga!!!! Umeshaanza kuweka taadhari eti yanga anaenda kumfunga mtibwa kwa kuhonga we jamaa ni taahira sio bure, jana umeleta uzi apa kwamba mbeya city wameshaongwa na yanga na imewapokea na kuwaweka hoteli nzuri sasa kila mtu ameiona mechi hivi aliyehongwa anachezaga vile? Kila timu itavuna ilichopanda msimu huu kulingana na ilivyojipanga mambo ya kubweka Kama mbwa wa kichaa kwa mafanikio ya mwenzako ayana nafasi sana Sana utakuwa unapoteza mda wako bure hapa
 
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum ( wa Kimafia ) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza ( Kuacha ) Alama ( Points ) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
Kafue chupi umeloa
 
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum ( wa Kimafia ) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza ( Kuacha ) Alama ( Points ) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
Ulisema Yanga wameipokea mbeya city. Je waliwakarimu ili wapate point 1 tu?
 
Hali Tete Sana Kama Mji Wa Homes Kule Syria Ama Mji Wa Faruja Wakati Ule
Lakini Iwe Kama Thread Hii Ilivyoletwa Na Professor Mnajimu
 
Ikiwa baada ya wazee kuitana nchi nzima kuweka mikakati ya kushinda Michezo yote ilobaki na bado mkapata ushindi Wa namna ile kwa prisons mnategemea nini? Wakati Yanga anasare na kufungwa hivyo ninyi ni kina nani na wachezaji wenu wote wazee hadi msifungwe au Ku sare!? ikiwa haitokumbwa na zahma ya majeruhi, HII YANGA NDIO BINGWA MSIMU HUU!!
 
Ikiwa baada ya wazee kuitana nchi nzima kuweka mikakati ya kushinda Michezo yote ilobaki na bado mkapata ushindi Wa namna ile kwa prisons mnategemea nini? Wakati Yanga anasare na kufungwa hivyo ninyi ni kina nani na wachezaji wenu wote wazee hadi msifungwe au Ku sare!? ikiwa haitokumbwa na zahma ya majeruhi, HII YANGA NDIO BINGWA MSIMU HUU!!
Tusubiri hatma ya hili jambo.Hamna mtu kujiliza.
 
Huko Yanga moto unafukuta.
Kuna Yanga GSM ambayo msemaji wake ni Manara na kuna Yanga lia lia msemaji wake Bumbuli.

Mnyukano huo utakolezwa baada ya Yanga kufungwa mechi moja.
 
Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC
 
Back
Top Bottom