Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

Hahaha mkuu vijana wake wa bangi wanamtetea sana huku jf[emoji23]
Sio kila anaemsifu Bob Marley ni mvuta bangi, kumuelewa na kumkubali Bob Marley inahitaji akili kubwa, kama wewe akili yako iko oriented kwenye mambo ya burudani pekee basi huwezi kujua Bob Marley kuwa ndiye nabii wa ukombozi kwa wanyonge.
 
Wote walikuwa vizuri sana. Michael alifanya vibaya alipoanza kujichubua na kutaka kuwa mzungu, akionyesha kwamba haipendi ngozi yake wakati Bob alikuwa very proud African na pia amesaidia to raise black African consiousness and freedom.

Lakini nyimbo zake zina message kubwa na nzuri sana. Man in the mirror anaongea angalia unaweza kufanya nini kujisaidia mwenyewe na kulisaidia jamii yako.

Liberia Girl anazungumzia uzuri wa
African girl. We are the world jinsi tunavyoweza kuungana.

Black or white, Earth Song, Heal the World, You are not alone, Human nature, Don't stop till you get enough, History, all are classics songs with great message. Great work of art.

One was comfotable on his skin the other was not lacking in self esteem and self confidence. That was source of all his trouble.

Mmoja alikuwa anajitambua historia yake, ngozi yake, kazi yake, nini afanye kuwasaidia watu wake.

Mwingine akiipinga, ngozi yake, jinsia yake, ajitambui.

Bob gave African and Blacks self esteem, confidence, unity and voice.
 
Unapozungumzia kukubalika hakuna mwanamuziki aliewahi kukubalika duniani kote na kupendwa kama Michael Jackson,ukweli kuwa hit songs zake zilikuwa zinaingia top ten katika nchi tofauti kwenye mabara tofauti,ukweli kuwa show zake zilikuwa zinajaza mpaka kutapika katika nchi tofauti na mabara tofauti,ukweli kuwa maisha yake yalikuwa yanaleta mgawanyiko wa kimawazo katika nchi tofauti tofauti na mabara tofauti,ukweli kuwa muziki wake ulikuwa unaimbwa na kueleweka na watoto,wadada,wamama na wababa, ukweli kuwa nyota ya umaarufu ilianza kumfuata akiwa na miaka chini ya kumi,(kimsingi umaarufu ndio ulimpenda, kumtafuta,kumfuata na kuambatana na Michael na wala hakuutafuta kiivyo kwani Michael mwenyewe alikuwa mtu wa aibu sana nje ya jukwaa lamuziki).Ukweli kuwa kifo chake kiliushtua zaidi ulimwengu kiasi kuwa mtandao wa google uliripotiwa kustack kwa muda kwa idadi kubwa mno ya watu walioingia mtandaoni kutafuta habari zake!
kweli zote hizo na nyingine nyingi zinamfanya Michael asiwe na upinzani kwani aliunyanyua muziki na kuupeleka level za juu kabisa kiasi kuwa wasanii wote waliofuata baada yake walikuwa ama wanalinganishwa ama wanataka kulingana nae mfano Chriss Brown.
Bob Marley ana heshima zake pia,kwani aliupa umaarufu kiasi muziki wa reggae ingawa hata hivyo waliouelewa walikuwa wachache sana kwa wakati huo, kimsingi jinsia ya kike hawakuuelewa kihivyo(kumbuka jinsia ya kike ni mojawapo ya vigezo visivyo rasmi vinavyoongeza umaarufu wa wasanii kwa ushabiki wao uliojaa mahaba).Muziki wake ulikuwa mzuri ingawa aliimba kivivu vivu,mi binafsi namkubali zaidi Lucky Dube anachangamsha na ujumbe mzito zaidi kuliko Marley.kwangu Michael alikuwa anakubalika zaidi kuliko Marley,ingawa kimsingi tunapaswa kushukuru kuwa hawa watu wawili walipita katika ulimwengu huu na kutuachia kumbukumbu na alama za kukumbukwa sana.
 
Tafadhar Bob aheshimiwe
Yan Bob wakumfanansha na Dada michael??
Alietoka mising ya kiumen mchana kweupeee

Bob anaushawish mkubwa sana kwenye iman ya Rastafarian unaweza kumuita papa wa kwanza kwenye hii dini
 
Tafadhar Bob aheshimiwe
Yan Bob wakumfanansha na Dada michael??
Alietoka mising ya kiumen mchana kweupeee

Bob anaushawish mkubwa sana kwenye iman ya Rastafarian unaweza kumuita papa wa kwanza kwenye hii dini
Hahahaha
 
Woyooo
 
Jamaa nimemuona ni dizaini kama choko Fulani hivi.. Bora mada angeiandika kabisa kwamba Maico ni zaidi ya Bob kuliko kuingizia maneno yake kama shoga huyo anaye mshabikia.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] umenena vema sana mkuu jamaa anazingua sana
 
We Jamaa Ni Hatari . Nilidhani Nazijua Nyimbo Za Michael Jackson Zote Ila Hapo Umenishinda.
 
Hao wote wakiimba music tofauti wenye ujumbe tofauti.kwangu Mimi wasanii bora hadi sasa na watakaoendelea kuwa bora hadi naingia kaburini ni Lucky Dube,Michael Jackson na 2pac watu hawa kila siku ziendazo kwa mungu lazima nisikilize nyimbo
Wandering up and down, the street of sowetooo, no place to call my homeeee. I tried to find you many years ago but the woman you marry was no good at all.

Lucky Dube alikuwa jumbe na tata saaana.
 
Lucky Dube ni kipaji cha mziki, hata Michael Jackson pia alikuwa nacho ila yeye alipikwa zaidi kwa ajili ya vitu flani hapa duniani.

Overall Michael Jackson alikuwa ni moto mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…