Pamoja na tozo kila kona, Serikali imesitisha mradi wa Barabara ya Kimara-Kibaha?

Watanzania wanataka maendeleo. Kama kuna wanaofikiria kuoiga deals waangalie mara mbili mbili. Ipo siku watadaiwa tu
 
Tunamalizia utalii kwanza mpaka tuyakue maeneo yote mazuri mazuri. Bado serengeti.
 
na juzi kati hata wale wanaotengeneza mwendokasi mbagala wamegoma mchina hawalipi ukimuuliza anasema na yeye hajalipwa
 
Hii barabara walaanza 2018/2019 na mpaka leo haijakamilika. Ni kipande kidogo sana.

Kati ya tatizo ambalo linaigharimu nchi hii pesa nyingi ni hizi kazi zisizoisha, miradi isiyokamilika, kazi za kujirudia rudia.
 
Itakuwa wanaotengeneza hawajapewa mpunga wao...
 
Tatizo kubwa sana hilo,na je serikali umetoa ufafanuzi ucheleweshaji huo??
 
Kuna ile ya makongo juu mwaka wa tano sasa hakieleweki kinachofanyika hapo.....na ina chini ya kilometa mbili.....hii tozonia wee acha tu!
 
Kipande cha SGR cha Dar-Moro tuliambiwa kingekamilika na kuanza kazi mwishoni mwa 2019, leo hii 2021 hakuna kinachoeleweka......watu wakiongea mnaleta utetezi usio na kichwa wala miguu...
 
Kipande cha SGR cha Dar-Moro tuliambiwa kingekamilika na kuanza kazi mwishoni mwa 2019, leo hii 2021 hakuna kinachoeleweka......watu wakiongea mnaleta utetezi usio na kichwa wala miguu...
Wanaupiga mwingi ndugu, ndio kwaanza wanarekodi sinema huko mikoani, nchi hii ina matatizo makubwa sana
 
Wanaupiga mwingi ndugu, ndio kwaanza wanarekodi sinema huko mikoani, nchi hii ina matatizo makubwa sana
Maeneo yasije kuwekwa sokoni tu yakaibuka yale ya loliondo.......maana kwa jinsi ninavyomjua beberu anaijua ngorongoro na serengeti mara mia zaidi ya masai na mang'ati wanaokaa pale, hivyo huna haja ya kumtangazia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…