Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwasababu kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubadilisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi ya viongozi wetu ni ignorants, na hadi baadhi ya waheshimiwa wabunge wetu pia ni ma ignorants tuu wakiongozwa na wabunge wa chama kubwa, ambao kwa kutumia wingi wao vibaya, ignorantly kupitisha sheria mbovu mbovu na za ajabu ajabu ambazo ziko kinyume na katiba ya JMT na mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu!.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni mtuhumiwa wa tuhuma za ufisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la Bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha Bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Mkuu, hili suala nimelizungumzia kwenye uzi wa Mwanakijiji na Pasco.
Nilisema kuwa hakuna standard hapa nchini. Tunasheria za mwituni

Kwa upande mwingine, wabunge wa CCM wana unafiki. Warioba alitengeneza mambo yawe safi katika rasimu.
Ni hao hao CCM wanaopinga ndio leo wanabanwa kwa kutumia katiba ya 1977 ambayo CHENGE ameidurusu na sasa inasulkumizwa kwa wananchi.

Wananchi nao wajifunze, na hili liwe la kuanzia. Wajue CHENGE haandiki katiba ya wananchi.

Chenge ameandika katiba ya kuwalinda mafisadi.
Na leo mtu aliyeshiriki vitendo vya wizi zaidi ya mara 2 eti anatoa ushauri kwa serikali. OMG!

Kesho wananchi wanaambiwa wajadili Rasimu ya Chenge! eti wakubali au la.

Mumeona jinsi Chenge anavyomiliki nchi.

Wananchi endeleeni kujadili katiba ya CHENGE mkitegemea matokeo tofauti na tunayoona sasa.
CC
Mag3 Mchambuzi zumbemkuu JokaKuu Pasco EMT
Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucomment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings!.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu very sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal draftsmen mule ndani ya Bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ufisadi wake, which has got nothing to do with uwezo wake wa being the best legal draft man!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.


Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid!, and it's very unfortunately Baadhi ya Wabunge ni Stupid!, Tanzania haina Demokrasia!, Bunge ni Rubber Stamp!- TBC, Watch Now!
Paskali
 
s_1.jpg
 
Ndio maana katiba mpya elimu ya darasa la unakua mbunge
 
Pasco umepatwa na nini nowadays Brother. Naumia sana mtu ambaye ninakua namheshimu anapofanya mzaha kwenye mambo ya msingi, that was a well organised game. Labda umchukuliea kwa upande huo kuwa walijipanga vyema ila sio kutoa point. Aliyoyaongea mtu yoyote angeweza kuyasema. Hayana u-professional wowote.
 
Pasco umepatwa na nini nowadays Brother. Naumia sana mtu ambaye ninakua namheshimu anapofanya mzaha kwenye mambo ya msingi...that was a well organised game. Labda umchukuliea kwa upande huo kuwa walijipanga vyema ila sio kutoa point. Aliyoyaongea mtu yoyote angeweza kuyasema. Hayana u-professional wowote.
Msome vizuri Pasco nduguyangu. Kuna watu wanadhani kuna kitu kinaitwa UKUU WA BUNGE juu ya mihimili mingine.
 
Habari wanabodi....kwanza nianze kwa kusema kwa mara ya kwanza nichangie hoja ya Pasco wa JF kama anavyojiita. Napata shida sana na uwezo wa kufikiri wa huyu jamaa, sijui mtazamo wake juu ya hoja zinazozingatia uhalisia uko wap. Naomba nikiri wazi kila ninaposoma maandiko yake natofautiana nae absolutely na jinsi ninavyofikiria jambo husika na nahisi watu wengi hutofautiana nae pia, kwa mfano, suala la chenge na mchango wake wa kutetea wezi wengine...huyu pasco anaweza kuona kuwa ni best brain...shame!!!!.labda niseme tu kinachokubeba na kinachokupa ujasiri wakuandika humu jukwaani ni ukongwe wako na umaarufu na sio sensible contents...ukisoma hoja za mtu kama Nguruvi, unasoma sensible contents in every line that you read, sio hizi porojo na kejeli za pasco. Natoa rai, kama pasco ungeandika onetl just onethird ya Nguruvi ningekuona wa maana...other wise niseme tu Pasco ni mwepesi sana na commets zako ni non-sense
 
Pasco umepatwa na nini nowadays Brother. Naumia sana mtu ambaye ninakua namheshimu anapofanya mzaha kwenye mambo ya msingi...that was a well organised game. Labda umchukuliea kwa upande huo kuwa walijipanga vyema ila sio kutoa point. Aliyoyaongea mtu yoyote angeweza kuyasema. Hayana u-professional wowote.

..hakika hata mimi niliwaza hiyo point kabla chenge hajaitamka na wala sina background ya sheria...atambue kwamba kauli ile haina uzito wowote katika kumwajibisha muhusika..imekaa kisiasa zaidi na si kisheria. .
 
..hakika hata mimi niliwaza hiyo point kabla chenge hajaitamka na wala sina background ya sheria...atambue kwamba kauli ile haina uzito wowote katika kumwajibisha muhusika..imekaa kisiasa zaidi na si kisheria. .

Chenge alikuwa anaweka pabaya rais. watu hawakuelewa!!!
 
Uamuzi ulikuwa unawekwa mikononi mwa raisi ambaye hakuna wa kumuuliza kama hata chukua hatua huo nao ulikuwa ni mtego maana raisi angekaa kimya tu kumalizia muda wake.

Asingeweza kukaa kimya maana hali ni mbaya. wafadhili wanasubiri maamizi ya serikali waachie fedha. Hana jinsi mbali na kutoa maamuzi magumu ili aweze kumalizia hata hizo siku zilizobaki.
 
ni wakati wa wananchi kuwatambua wawakilishi wao bungeni hasa wale wanaotetea wezi wa fedha za akaunti ya tegeta escrow,kuwapigia kura tena itakua ni more than ignorance!tuelimike kwa yanayojiri sasa,unapomtetea fisadi nawe ni fisadi shime watanzania tuwe na maamuzi dynamic kama alivotuasa Hayati Nyerere kwamba ccm si mzazi akimaanisha kama wanatenda uovu unapaswa kuepukana nao kwa kuwaamini wengine kama ilivyo demokrasia ya kweli
 
Pasco hongera kwa kututhibitishia kuwa wewe ni ignorant kwa kila jambo! lakini waache wabunge wafanye kazi yao. Jana Zitto alikazia draft ya chenge itumike kwenye maazimio yote yaliyobakia na bunge zima likaunga mkono kabla ya system kushtuka na kumtonya spika kuwa litamdhuru PM na shiiida ikaanzia hapo, so wa kupongezwa ni Kabwe kwa ujanja aliotumia!!
 
Pasco unavitu fulani vizuri sana sana, vikitumiwa vyema na kwa uungwana vitasaidia sana Taifa Kwa Kuwa wewe Mwenyewe wajua uwezo wa Jamii Forum kwa sasa katika kushape baadhi ya mambo muhimu kwenye TAIFA letu, lakn binafsi nasikikitishwa na uwasilishaji wako ambao umefanya baadhi ya Wanajf wakuone hivyo wanavyokuonyesha hapo juu A SNAKE.. ambayo Kwangu mimi nafahamu umuhimu wako humu Jukwaani nisingependa Watu Wakuweke Kwenye Fungu La NYOKA VICHWA VIWILI.

Binafsi najitahidi kuendelea kujifunza juu ya haiba yako kama ninavyojifunza kwa wengine humu kwa kuwa huu Mwanajf na mie pia humu ni Mwanajf na kwa ujumla wetu kama familia ndani ya JF.

Ila kumbuka kuwa umma wetu wa kitanzania bado aujafika Level ambayo wewe UMEJITANABAISHA NAYO.Hivyo wewe ulie mbele ya wenzio ni vyema na uungwana kujishusha na kuwa sawa na ufahamu ulio sawa na ufahamu wa walio wengi huku ukijitahidi kufungua fahamU ZETU kidogo kidogo kwa fikra za KIUNGWANA...kulingana na mtizamo wa Jukwaa na Jamii nzima Ya Wanajamii Wa Jukwaa na Wageni wajao humu Jukwaani.

KISWAHILI NINGESEMA PERSONALITY NA KINGEREZA NINGESEMA HAIBA..........CONTRIVANCE !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

MFANO Leo ulitaka kueleza jambo zuri sana kuhusu Change lakini kwa uwasilishaji huu wenye Title hii ''
[h=1]Topic: Pamoja Na Ufisadi Wake Wote, Chenge is One of Best Brains Kwenye Bunge Full of Ignorants.[/h]Nimesikitika sana kuwa UMEWATUKANA WABUNGE WETU ATA WALE AMBAO SIE WENGINE TUNA WAONA NI MASHUJAA WETU.Manake kitendo cha kusema FULL of Ignorants inamaana ni Wabunge Wote. Ndio Kusema hata baadhi ya Wabunge Wa Upinzani ambao sie huku Jukwani na Uraiani Tunaamini Ndio Mashujaa Wa Taifa wewe Umewatukana.....Ukweli Si Ungwana hata Kidogo na Ina IMPACT YAKE...

Ningekuwa Mimi ningesema thread yako ningeyasema haya yafutayo, ili yaendana na REALITY ya kwenye jamii. Mfano ningeweza kusema BEST BRAINS CHENGE ILIYOPOTEA KWENYE UFISADI.

Wewe Wajua Uwezi Kuzaliwa Ukoo Wa Kichifu na Ukasomesha best Schools And College na usiwe BEST.Walio wengi kwenye vizazi vya uchifu kihistoria kuna Nasaba ya Ufahamu mwingi kwa mujibu wa majukumu na uwezo wa Nasaba hiyo ya Kichifu.Wataalamu wanasema Binadamu wana akili 80% ya kuzaliwa ikiwa ni NASABA ya Kizazi kati ya Baba na Mama na 20% ni Mazingira...Kwa Mantiki hiyo si ajabu kwa Chenge kuwa hivyo ulivyosema. Na ndio maana wale wenzetu waliodumisha Chief Kingdom jambo hilo la Kulisishana Utawala limeendelea kuwa ni la kudumu...

Sasa yasemekana alisomeshwa vyuo bora duniani kama HAVARD na Mwalimu Nyerere, na kama ili ni Kweli, basi Mwalimu alijiona ndani ya CHENGE..kwa kujua wote wanatoka CHIEF KINGDOM hivyo kwa kumsomesha CHENGE the BEST COLLEGE ni kutengeneza ASSET kubwa Kwa TAIFA letu hili.JE NI KWELI CHENGE KAMTENDEA HAKI MWALIMU NA WATANZANIA ?.

KWA CHENGE KUBALIKIWA NA NASABA YA UCHIFU JE HII NDIO ZAWADI KWA WANA WA ARDHI AMBAYO ILIUNGANISHWA NA ARDHI YA UTAWALA WA NASABA YAKE NA KUWA NA MAMA ARDHI MMOJA.

MALIPO NI HAYA YA KUTAJWA KILA AINA YA SCANDALS..... Mbaya na Chafu zenye maumivu Makubwa Kwa Wana Wa Ardhi Ya Mababu Zake....Waliotangulia!!!

Vice Versa is True Useme Wa Thread Yako.....

NA HAKIKA KAMA CHENGE NI KIZAZI CHA BAADHI YA MACHIFU WA TAIFA HILI,,,,HAKIKA HUU NDIO MWISHO WA MATENDO YOTE YENYE MAUMIVU KWA TAIFA HILI YANAYOPITIA LANGO LAKE....NA WAZEE WASIKIE...MAMA TANZANIA KASEMA BASI.....
 
Chenge could be one of the best brains. The problem is the use his good brains. Is it for the benefit of his country or for his own stomach!
The answer is obvious. On top of his "vijisenti" he is now 1.6 billions richer!
 
Wakati Prof. Muhongo akijifanya yeye ni mwenye akili kuliko watanzania wote, Pasco anajifanya kuwa kipanga miongoni mwa wana jf wote. Hilo ndo tatizo hapo. Miongoni mwa wana jf ninaowapuuza ni yeye! Nadhani bora kusikiliza matusi ya Lusinde.
 
Back
Top Bottom