Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukomo wa utawala wa kimabavu wa wakoloni weusi hatimaye umefikaAcheni mtanzania aitwe mtanzania, ukimtisha anakuangalia utafikiri mjinga kumbe anasubiri siku akujibu. Na haya ndiyo majibu ya ukimya wao.
View attachment 1532670
Wazee wa Singida wamesema wazi kuwa Miraji si mbunge wao, ni mbunge wa viti maalum. Tangu Tundu Lissu avuliwe ubunge hawakuwa na mbunge.Quinine,
Halafu eti Mtaturu atapita hapa Ubunge. NEVER, CHADEMA simamieni jimbo hili, hakuna wizi hapa majibu tayari yapo kiganjana! DED asithubutu katu kumtangaza asiyestahili!
Umetusahau wa DarAcheni mtanzania aitwe mtanzania, ukimtisha anakuangalia utafikiri mjinga kumbe anasubiri siku akujibu. Na haya ndiyo majibu ya ukimya wao.
View attachment 1532670
Nasikia hakuna diwani alinunuliwa huko, nimefurahi sanaWazee wa Singida wamesema wazi kuwa Miraji si mbunge wao, ni mbunge wa viti maalum. Tangu Tundu Lissu avuliwe ubunge hawakuwa na mbunge.
Bado tu huelewi sayansi ya jamii mkuuAcheni mtanzania aitwe mtanzania, ukimtisha anakuangalia utafikiri mjinga kumbe anasubiri siku akujibu. Na haya ndiyo majibu ya ukimya wao.
View attachment 1532670
Wazee wa Singida wamesema wazi kuwa Miraji si mbunge wao, ni mbunge wa viti maalum. Tangu Tundu Lissu avuliwe ubunge hawakuwa na mbunge.
Wazee wa Singida wamesema wazi kuwa Miraji si mbunge wao, ni mbunge wa viti maalum. Tangu Tundu Lissu avuliwe ubunge hawakuwa na mbunge.
😂😂😂😂Hao wazee hao ni hatari kwa uhai wa CCM hapo Ikungi
Umeongea ukweli mchungu.Akili hamna ....Bado Tuu sisiemu watashinda.
Mark my words
Wataiba kura if possible na Bado Jamii itawachekea hiiii..