Pamoja na waganda kunyanyaswa lakini uhuru wa maoni upo

Pamoja na waganda kunyanyaswa lakini uhuru wa maoni upo

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
602
Reaction score
2,506
BOBI WINE anasema alikataa kuonana na Rais Museveni alipokwenda kumtembelea kwa siri Gerezani. Bobi akagoma kuondoka mahakamani hapo alipoletewa ambulance hadi wenzake 33 watakapokamilisha dhamana zao. Jaji alianza na Bobi ili kupunguza 'JAM' mahakamani.

TUJIFUNZE masuala kadhaa kutoka kwa huyu mtu. Sio kosa pia. Kuna kitu ndani yake. Anaweza asiwe amepita kwenye mengi lakini ameonesha 'uthabiti' na 'uimara' wake kwa ambayo ameamua kusimamia. Anapigania anachoamini ni sahihi. Anaitwa "President of the ghetto"

Jaji amesema Bobi Wine atibiwe popote hata nje ya nchi ikiwezekana. Amekata OMBI la upande wa jamhuri lilikuwa likimtaka Bobi akabidhi passport yake ya kusafiria. Ameitaka serikali irejeshe passport yake mikononi kwa Bobi wine. Kwa sababu ni mbunge ana haki hizo.

Pamoja na hali ngumu ya kisiasa nchini Uganda, bado Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha DP, Norbert Mao ametangaza rasmi kwamba kuanzia kesho 28.08.2018 saa tisa jioni saa za Afrika Mashariki 'umoja wa upinzani nchini Uganda' unatangaza operation inaitwa "MUSEVENI MUST GO"

DR. Warren Kiiza Besigye Kifefe 'The Hammer' alikuwa mahakamani hapo, akatoa huduma ya kwanza kwa mtuhumiwa mmoja aliyeanguka na kuzimia, ni daktari, amewahi kuwa daktari wa MU7, anasema nchi haiwezi kusubiri uchaguzi 2021 Museveni akiwa Rais, wakati wananchi wanauwawa na kuuwawa.

Pamoja na mengi yaliyotokea katika sakata hili la Kyagulanyi Robert Ssentamu (Bobi wine), kinyume na haki zake za binadamu; mbunge wa Kyaddondo East dhidi ya serikali ya Museveni; nimejifunza masuala kadhaa kuhusu Uganda;

1. Uhuru wa mahakama
2. Uhuru tume ya uchaguzi
3. Uhuru wa mijadala
4. Uhuru wa bunge

#MMM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BOBI WINE anasema alikataa kuonana na Rais Museveni alipokwenda kumtembelea kwa siri Gerezani. Bobi akagoma kuondoka mahakamani hapo alipoletewa ambulance hadi wenzake 33 watakapokamilisha dhamana zao. Jaji alianza na Bobi ili kupunguza 'JAM' mahakamani.

TUJIFUNZE masuala kadhaa kutoka kwa huyu mtu. Sio kosa pia. Kuna kitu ndani yake. Anaweza asiwe amepita kwenye mengi lakini ameonesha 'uthabiti' na 'uimara' wake kwa ambayo ameamua kusimamia. Anapigania anachoamini ni sahihi. Anaitwa "President of the ghetto"

Jaji amesema Bobi Wine atibiwe popote hata nje ya nchi ikiwezekana. Amekata OMBI la upande wa jamhuri lilikuwa likimtaka Bobi akabidhi passport yake ya kusafiria. Ameitaka serikali irejeshe passport yake mikononi kwa Bobi wine. Kwa sababu ni mbunge ana haki hizo.

Pamoja na hali ngumu ya kisiasa nchini Uganda, bado Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha DP, Norbert Mao ametangaza rasmi kwamba kuanzia kesho 28.08.2018 saa tisa jioni saa za Afrika Mashariki 'umoja wa upinzani nchini Uganda' unatangaza operation inaitwa "MUSEVENI MUST GO"

DR. Warren Kiiza Besigye Kifefe 'The Hammer' alikuwa mahakamani hapo, akatoa huduma ya kwanza kwa mtuhumiwa mmoja aliyeanguka na kuzimia, ni daktari, amewahi kuwa daktari wa MU7, anasema nchi haiwezi kusubiri uchaguzi 2021 Museveni akiwa Rais, wakati wananchi wanauwawa na kuuwawa.

Pamoja na mengi yaliyotokea katika sakata hili la Kyagulanyi Robert Ssentamu (Bobi wine), kinyume na haki zake za binadamu; mbunge wa Kyaddondo East dhidi ya serikali ya Museveni; nimejifunza masuala kadhaa kuhusu Uganda;

1. Uhuru wa mahakama
2. Uhuru tume ya uchaguzi
3. Uhuru wa mijadala
4. Uhuru wa bunge

#MMM

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalo sema kwa kiasi fulani ni ukweli, lakini kwa kiasi kikumbwa sio sahihi hamna dictetor yoyote ambaye anaweza kuachia uhuru wa mahakama au Tume ya uchaguzi....M7 kashindwa katika chaguzi kama tatu na mpizani wake Kiiza, ila tu kalindwa na Tume pamoja namahakama, sasa hivi ameanza kilaumu Tume eti imejaa watu dhaifu na wa vivu kwasababu hawakuweza kumbeba katika chaguzi ndogo hizi, kabla ya mwaka huu kuisha atateua Tuma nyingine....kwa Tz niwaoga kwasababu hamna raisi anae tawala zaidi ya mhula yake miwili kwahiyo kuliko kumwaga damu watu wanamvumilia tu, ila siku katiba itakapo badilishwa kuruhusi utawala bila kikomo hiyo siku ndoutaona "true colours" za wa Tznia uoga na unafiki wata iweka pembeni na kupambana na dectetor huyu atakae jaribu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M7 unansoma Kwenye magazeti kumbe humjui, hata hiyo operation haitafanyika,
 
BOBI WINE anasema alikataa kuonana na Rais Museveni alipokwenda kumtembelea kwa siri Gerezani. Bobi akagoma kuondoka mahakamani hapo alipoletewa ambulance hadi wenzake 33 watakapokamilisha dhamana zao. Jaji alianza na Bobi ili kupunguza 'JAM' mahakamani.

TUJIFUNZE masuala kadhaa kutoka kwa huyu mtu. Sio kosa pia. Kuna kitu ndani yake. Anaweza asiwe amepita kwenye mengi lakini ameonesha 'uthabiti' na 'uimara' wake kwa ambayo ameamua kusimamia. Anapigania anachoamini ni sahihi. Anaitwa "President of the ghetto"

Jaji amesema Bobi Wine atibiwe popote hata nje ya nchi ikiwezekana. Amekata OMBI la upande wa jamhuri lilikuwa likimtaka Bobi akabidhi passport yake ya kusafiria. Ameitaka serikali irejeshe passport yake mikononi kwa Bobi wine. Kwa sababu ni mbunge ana haki hizo.

Pamoja na hali ngumu ya kisiasa nchini Uganda, bado Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha DP, Norbert Mao ametangaza rasmi kwamba kuanzia kesho 28.08.2018 saa tisa jioni saa za Afrika Mashariki 'umoja wa upinzani nchini Uganda' unatangaza operation inaitwa "MUSEVENI MUST GO"

DR. Warren Kiiza Besigye Kifefe 'The Hammer' alikuwa mahakamani hapo, akatoa huduma ya kwanza kwa mtuhumiwa mmoja aliyeanguka na kuzimia, ni daktari, amewahi kuwa daktari wa MU7, anasema nchi haiwezi kusubiri uchaguzi 2021 Museveni akiwa Rais, wakati wananchi wanauwawa na kuuwawa.

Pamoja na mengi yaliyotokea katika sakata hili la Kyagulanyi Robert Ssentamu (Bobi wine), kinyume na haki zake za binadamu; mbunge wa Kyaddondo East dhidi ya serikali ya Museveni; nimejifunza masuala kadhaa kuhusu Uganda;

1. Uhuru wa mahakama
2. Uhuru tume ya uchaguzi
3. Uhuru wa mijadala
4. Uhuru wa bunge

#MMM

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani huo uhuru wa maoni ni fadhila?

Hupo kwenye katiba!!!
 
Back
Top Bottom