Pamoja na wanayotendewa, wanachama waendelea kujisajili kupitia Chadema Digital

Pamoja na wanayotendewa, wanachama waendelea kujisajili kupitia Chadema Digital

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huu ni mkusanyiko wa wananchi wa kata ya Utengule huko Mlimba wakisubiri kusajiliwa kwa njia ya kisasa ya Chadema digital.

Tunawasisitiza waratibu wa mambo haya kuhakikisha tahadhari dhidi ya corona inachukuliwa ili kulinda afya za wanachama wetu, ni muhimu sana kuchukua tahadhari hiyo hasa ikizingatiwa kuwa siku zote jambo la Chadema linakusanya Umati mkubwa.

Maandalizi_ya_usajili_wa_wanachama_kukata_kadi_za_digital_kata_ya_Utengule_Mlimba..jpg
 
Utengule zipo nyingi,ni ya wapi
 
Hakuna chama opposition kipo grassroots zaidi ya CHADEMA. Then kuna mtu atakwambia ni chama cha Wachagga!

Ukifika kule kigoma kaskazini ndani ndani huko Kalinzi hadi Matyazo unakutana na mikutano ya ndani ya CHADEMA watu wana hamasa sana hta smartphone hawana, mpaka unajiuliza hivi hiki chama kilifikaje hadi huku?
 
Hakuna chama opposition kipo grassroots zaidi ya CHADEMA. Then kuna mtu atakwambia ni chama cha wachagga!

Ukifika kule kigoma kaskazini ndani ndani huko Kalinzi hadi Matyazo unakutana na mikutano ya ndani ya CHADEMA watu wana hamasa sana hta smartphone hawana, mpaka unajiuliza hivi hiki chama kilifikaje hadi huku?
Mungu ibariki Chadema
 
Back
Top Bottom