leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,583
- 3,182
Licha ya kuwa wapo watanzania wanamlaum Rais John Pombe Magufuli kwa mambo kadhaa lakini huko nje ya mipaka yetu Kuna watu wanamkubari Sana kwa jitihada zake za kuliletea taifa letu miradi ya kutukuka na kuheshimika kimataifa katika kipindi kifupi alicho kaa madarakani.
Somo tujifunze kushukuru kwa mazuri mengi kuliko kukomalia mabaya machache ya kipindi chake, kwani Kuna usemi usemao usiposhukuru kwa machache mazuri hutashukuru hata kwa mengi uteadewayo.
Kwani moyo wenye shukurani hutakabari hata mbele ya uso wa bwana Bali moyo usio kuwa na shukurani Ni chukizo mbele za uso wa bwana.
Feb 10, 2022 11:26 AM
Recently, Tanzania was reported to have launched a new state of art bridge in Dar es Salaam. The bridge is a world class type and has a characteristic of a girdle bridge and a cable stayed bridge making it lighter. According to the reports, the bridge was funded jointly by Tanzanian government and that of South Korea at a cost of 256 billion Tanzania shillings
Somo tujifunze kushukuru kwa mazuri mengi kuliko kukomalia mabaya machache ya kipindi chake, kwani Kuna usemi usemao usiposhukuru kwa machache mazuri hutashukuru hata kwa mengi uteadewayo.
Kwani moyo wenye shukurani hutakabari hata mbele ya uso wa bwana Bali moyo usio kuwa na shukurani Ni chukizo mbele za uso wa bwana.
Hii Imepita Level Ya Kenya' See The Magnificent Bridge In Tanzania That Amazed Kenyans
News Hub CreatorFeb 10, 2022 11:26 AM
Recently, Tanzania was reported to have launched a new state of art bridge in Dar es Salaam. The bridge is a world class type and has a characteristic of a girdle bridge and a cable stayed bridge making it lighter. According to the reports, the bridge was funded jointly by Tanzanian government and that of South Korea at a cost of 256 billion Tanzania shillings