Pamoja na yote CCM imshukuru Mbowe kwa kuwatengenezea viongozi akina Shonza, Profesa Kitila, Dkt. Mollel, Katambi, Waitara nk

Pamoja na yote CCM imshukuru Mbowe kwa kuwatengenezea viongozi akina Shonza, Profesa Kitila, Dkt. Mollel, Katambi, Waitara nk

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Baniani mbaya kiatu chake kizuri na usione vyaelea vimeundwa.

Unapoona mtu anatoka kwenye chama kidogo kama Chadema na kwenda chama dola na moja kwa moja anapata uteuzi wa Rais basi elewa chama alichotoka kimemjenga akajengeka.

Binafsi huwa simfagilii Mbowe lakini kitu kimoja huwa nakikubali Freeman Mbowe anajua kuwasuka vijana.

Waangalie Juliana Shonza, Katambi na Mwita Waitara aliyekuwa muhudumu wa Dkt. Nchimbi pale UVCCM wote wamepita katika mikono ya Freeman na sasa ni viongozi wa kutegemewa chama tawala.

Hata huyu Halima na Mnyika ni Freeman kawatengeza. Nakumbuka Mnyika wakati anaanza siasa alidakwa na mzee Malecela lakini sikumbuki aliponyokaje tukasikia Mbowe kamsajili Ufipa.

Anyway mambo ni mengi muda mchache lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Huwezi kukijua kitu bandia kama hujawahi kukiona halisi.

Maendeleo hayana vyama!
 
MATAGA ilipokuwa Oktoba: "wabunge wa Chadema ni wapinga maendeleo, wasumbufu bungeni afadhali hawapo na bunge litakuwa live"

MATAGA ilipofika November: "Tunawapongeza wabunge wa Chadema kuonesha uzalendo kwenda kuapishwa. Sasa tuchape kazi"

MATAGA/UVCCM ubongo wao ni 'ki WONDER' cha kuchakata upumbavu duniani
 
Baniani mbaya kiatu chake kizuri na usione vyaelea vimeundwa.

Unapoona mtu anatoka kwenye chama kidogo kama Chadema na kwenda chama dola na moja kwa moja anapata uteuzi wa Rais basi elewa chama alichotoka kimemjenga akajengeka.

Binafsi huwa simfagilii Mbowe lakini kitu kimoja huwa nakikubali Freeman Mbowe anajua kuwasuka vijana.

Waangalie Juliana Shonza, Katambi na Mwita Waitara aliyekuwa muhudumu wa Dr Nchimbi pale UVCCM wote wamepita katika mikono ya Freeman na sasa ni viongozi wa kutegemewa chama tawala.

Hata huyu Halima na Mnyika ni Freeman kawatengeza. Nakumbuka Mnyika wakati anaanza siasa alidakwa na mzee Malecela lakini sikumbuki aliponyokaje tukasikia Mbowe kamsajili Ufipa.

Anyway mambo ni mengi muda mchache lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Huwezi kukijua kitu bandia kama hujawahi kukiona halisi.

Maendeleo hayana vyama!
Aisee chalii yangu unataga? Mbona hutulii? UNAKERA
 
Baniani mbaya kiatu chake kizuri na usione vyaelea vimeundwa.

Unapoona mtu anatoka kwenye chama kidogo kama Chadema na kwenda chama dola na moja kwa moja anapata uteuzi wa Rais basi elewa chama alichotoka kimemjenga akajengeka.

Binafsi huwa simfagilii Mbowe lakini kitu kimoja huwa nakikubali Freeman Mbowe anajua kuwasuka vijana.

Waangalie Juliana Shonza, Katambi na Mwita Waitara aliyekuwa muhudumu wa Dkt. Nchimbi pale UVCCM wote wamepita katika mikono ya Freeman na sasa ni viongozi wa kutegemewa chama tawala.

Hata huyu Halima na Mnyika ni Freeman kawatengeza. Nakumbuka Mnyika wakati anaanza siasa alidakwa na mzee Malecela lakini sikumbuki aliponyokaje tukasikia Mbowe kamsajili Ufipa.

Anyway mambo ni mengi muda mchache lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Huwezi kukijua kitu bandia kama hujawahi kukiona halisi.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni mwelewa kuliko Pascal Mayalla , Sasa amebaki kuiombea mabaya CHADEMA kwa kisingizio cha Karma.
Gamboshi iko Usukumani, wachawi 900 wako Gamboshi na ndio wanaokiongoza Chama Cha Mazezeta
 
Baniani mbaya kiatu chake kizuri na usione vyaelea vimeundwa.

Unapoona mtu anatoka kwenye chama kidogo kama Chadema na kwenda chama dola na moja kwa moja anapata uteuzi wa Rais basi elewa chama alichotoka kimemjenga akajengeka.

Binafsi huwa simfagilii Mbowe lakini kitu kimoja huwa nakikubali Freeman Mbowe anajua kuwasuka vijana.

Waangalie Juliana Shonza, Katambi na Mwita Waitara aliyekuwa muhudumu wa Dkt. Nchimbi pale UVCCM wote wamepita katika mikono ya Freeman na sasa ni viongozi wa kutegemewa chama tawala.

Hata huyu Halima na Mnyika ni Freeman kawatengeza. Nakumbuka Mnyika wakati anaanza siasa alidakwa na mzee Malecela lakini sikumbuki aliponyokaje tukasikia Mbowe kamsajili Ufipa.

Anyway mambo ni mengi muda mchache lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Huwezi kukijua kitu bandia kama hujawahi kukiona halisi.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa kwann watoke uko chadema, uwez jiuliza ilo swali??
 
Maneno ya kujiridhisha ni ya kawaida na hujenga mwili.
 
Baadae utasema vyama vyote viongozi asilimia 90 walikua wanachama wa CCM zamani na ndio maana vyama vingi vinafanana CCM mambo mengi sana.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Gamboshi iko Usukumani, wachawi 900 wako Gamboshi na ndio wanaokiongoza Chama Cha Mazezeta
Yamekuwa hayo tena 😂😂😂
Makamanda mlivyo na hasira sitashangaa kusikia umejinyonga au kunywa sumu 😅
Kamanda BAK simuoni tangu matokeo yametangazwa, sijui ameshajitundika tayari? Au kwenye ubalozi alikokimbilia hawana bando 🤣🤣🤣
 
Umesahau Dr. Kitia Mkumbo, Mama Anna Ngwira, Makonda, yaani ni wengi tuu achiia wandishi wa habari Saum Mwaim, Kibanda, Ansbert Ngurumo, Manyerere Jackton, Deo Baie, Neveee Meena yaani ni wengi ana mchango mkubwa kwa watu wengi
 
Chadema ni Jumuiya ya Ccm, Inayoandaa vijana kuwa watumishi wa Umma na Chama Cha Mapinduzi.
 
MATAGA ilipokuwa Oktoba: "wabunge wa Chadema ni wapinga maendeleo, wasumbufu bungeni afadhali hawapo na bunge litakuwa live"

MATAGA ilipofika November: "Tunawapongeza wabunge wa Chadema kuonesha uzalendo kwenda kuapishwa. Sasa tuchape kazi"

MATAGA/UVCCM ubongo wao ni 'ki WONDER' cha kuchakata upumbavu duniani
Katafute maana ya Democratic Republic of Tanzania ndio utapata clue ya kinachoendelea.
 
Baniani mbaya kiatu chake kizuri na usione vyaelea vimeundwa.

Unapoona mtu anatoka kwenye chama kidogo kama Chadema na kwenda chama dola na moja kwa moja anapata uteuzi wa Rais basi elewa chama alichotoka kimemjenga akajengeka.

Binafsi huwa simfagilii Mbowe lakini kitu kimoja huwa nakikubali Freeman Mbowe anajua kuwasuka vijana.

Waangalie Juliana Shonza, Katambi na Mwita Waitara aliyekuwa muhudumu wa Dkt. Nchimbi pale UVCCM wote wamepita katika mikono ya Freeman na sasa ni viongozi wa kutegemewa chama tawala.

Hata huyu Halima na Mnyika ni Freeman kawatengeza. Nakumbuka Mnyika wakati anaanza siasa alidakwa na mzee Malecela lakini sikumbuki aliponyokaje tukasikia Mbowe kamsajili Ufipa.

Anyway mambo ni mengi muda mchache lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Huwezi kukijua kitu bandia kama hujawahi kukiona halisi.

Maendeleo
Hivi unajua hao watu walipitia nini hadi wakakutana na mbowe? Namjua mmoja wao, usitoe hongera za kinafki. Hao wote wanastahili pongezi kwa kufika kule walipo kutokana na kujipanga vzuri kimaisha. Mbowe sio mwalimu, kama hivi je waliobaki chadema amewaharibu? Usimpe mtu sifa hasizostahili, wapongeze hao viongozi kwa kupigana hadi kufikia pale walipofika, InshaAllah bado safari zao hazijafika hatua ya mwisho
 
Back
Top Bottom