Shida ya wanaume wakipewa pesa wanadai huyu mwanamke anajua sana kuhonga utasikia hata kwenye baaa amekaa eti aahhh nimeishiwa pesa ngoja nimpigie demu wangu aje na kweli anakwenda akifika ataanza kujisifia oohhh si niliwaambia nyine mmeona? Kumbe masikini ya Mungu we umejipendea zako tu.
Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi anajua hapa ndio atafika na taratibu mbaba utazoea na mtakuta mnaridhishana kikubwa mdada akupende na wewe ujiamini
hahah haahaha apo chacha!!!!!
ni kweli tupu ata km umempenda kweli na unamsaidia kikawaida tu ye ataona umemuhonga na apo dhana nzima ya penz itachakachuliwa na atakuchukulia km MUVABO ATM...!!!
Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi anajua hapa ndio atafika na taratibu mbaba utazoea na mtakuta mnaridhishana kikubwa mdada akupende na wewe ujiamini
haaaaa maty ulosema ni kweli kabisa halafu wanaume huwa hawajui tu mwanamke akikupenda kwa dhati kabisa na ukagundua huyu ananipenda nakwambia huwa tunakuwa vipofu wala hatuoni na suala la kusalitiwa huwa ndo halipo kabisa coz huwa tuaamini huyu anayenitaka hawezi kufanana na mpenzi wang,lakini wanaume kwani wanayajua haya?tabu tupu tena ukimuonyesha unampenda ndo vitimbi vitazidi atakuonyesha hana hata time na ww.Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi anajua hapa ndio atafika na taratibu mbaba utazoea na mtakuta mnaridhishana kikubwa mdada akupende na wewe ujiamini
Shida ya wanaume wakipewa pesa wanadai huyu mwanamke anajua sana kuhonga utasikia hata kwenye baaa amekaa eti aahhh nimeishiwa pesa ngoja nimpigie demu wangu aje na kweli anakwenda akifika ataanza kujisifia oohhh si niliwaambia nyine mmeona? Kumbe masikini ya Mungu we umejipendea zako tu.
Wee umeishamchakachua tembo wako najua
Ulipo ingia jamvini ulitangaza kutafuta mchumba, je ulisha pata?
ahhhh tembo anjaniboa tu kesho ntatangaza tenda kwa vidig dig....stay tuned!!!!!!!
haaaaa maty ulosema ni kweli kabisa halafu wanaume huwa hawajui tu mwanamke akikupenda kwa dhati kabisa na ukagundua huyu ananipenda nakwambia huwa tunakuwa vipofu wala hatuoni na suala la kusalitiwa huwa ndo halipo kabisa coz huwa tuaamini huyu anayenitaka hawezi kufanana na mpenzi wang,lakini wanaume kwani wanayajua haya?tabu tupu tena ukimuonyesha unampenda ndo vitimbi vitazidi atakuonyesha hana hata time na ww.
tatizo la hawa kaka zetu wakigundua tu kuwa unawapenda mmmmh hivyo vitimbi vyake asikwambie mtu......hapa cha muhim ht kama umempenda usimwonyeshee kiviiile.....
tatizo la hawa kaka zetu wakigundua tu kuwa unawapenda mmmmh hivyo vitimbi vyake asikwambie mtu......hapa cha muhim ht kama umempenda usimwonyeshee kiviiile.....