MATY .....MATY..wanipa raha mie
dah mariooooo wanakuboa eennh?bt leo umewahurumia kdg
yap akikupenda demu uwez jali km ni marioo au kibamia...
niaje idd i mama ..nguo mpya tutapata??na viatu vpya....
hayo mapenzi ya dhati unayoyasema yakuwapi nowadays????acheni zenu ninyi!kuyeyushana tu na kuzinguana ndo kumejaa siku hizi!mnapeana raha baada ya siku mbili kila mtu natime yake, ndo mtindo huo!ladies are so material-based nowadays!!!!!!!
Maty Darling....Hii useful post nimeitendea haki mimi peke yangu. Ikaguae hapo chini halafu na wewe nitendee haki kwenye PM:hippie::hippie::hippie:Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi anajua hapa ndio atafika na taratibu mbaba utazoea na mtakuta mnaridhishana kikubwa mdada akupende na wewe ujiamini
Kuongezea, Kinadada mkipenda msipende kabisaaaa!, utapata Mdada yu tayari kumfanyia jamaa, kila kitu yaani amependa 110%, Nao madume hupenda lakini hawafikii 70%, ndo maana utapata bado jamaa ana jicho la kishogoni, japo apenda kimwana!!
Kinadada msipende jamaa kama malaika, hawa ni viumbe wa mungu!!!!!!!
tatizo la hawa kaka zetu wakigundua tu kuwa unawapenda mmmmh hivyo vitimbi vyake asikwambie mtu......hapa cha muhim ht kama umempenda usimwonyeshee kiviiile.....
dizaini kupenda mpaka mtu anajihic kujilipua....wanaume wa kuhudimiwa huwa na vijimambo sana, yupo kwa ajili hana akipata shida huanzia hapo.
Aisee mie sijawahi kukutana na mwanamke ambaye hapendi pesa...atazugazuga wee lakini mwisho wa siku habari ndio hiyo..😡
Ni kweli kabisa nyamayao ndio maana mimi huwa kila siku nagombana kuhusu marioooooooo unaangalia kabisa huyu ana future na anajituma so unamsaidia akikwama kama ambavyo huwa na wao wanatusaidia yaani unakua mwendo wa kusaidiana
Hakuna mwanamke wala mwanaume asiependa pesa pesa ndio kila kitu tukatae tukubali ukienda kumpenda ambae sio saiz yako lazima uchunwe tu
Mariooo akili zao huwa zinasahau mara moja sana alikuwa na shida hana kazi unamsaidia akipata kidogo tu anaanza ni small house akibanwa huko anakuja anakudanganya ooohhh sijui gari imekuwaje sijui mafuta kumbe anapeleka small haouse pesa zako. Mie kimya mwaya!!!
naonaga mara nyingi ni watu wa kudeka deka tu, akitaka hichi utafanya juu chini umpatie, c anajua unampenda sana?...mhhh mapenzi ya hivyo kweli yataka moyo...lol
Wapo wanaume wa aina zote mbili jamani,yupo ambae ukimpenda anakuwa kama dem,mapozi milion,lakini mwingine akipendwa nae anapendeka anakua hana mapazi hata kidogo!!!!
Wapo wanaume wa aina zote mbili jamani,yupo ambae ukimpenda anakuwa kama dem,mapozi milion,lakini mwingine akipendwa nae anapendeka anakua hana mapazi hata kidogo!!!!
[/B]
Na hawa ndio ninaozungumzia mimi ambae anapendeka kinachotakiwa mdada ujifunze kumtambua anaekupenda kwa dhati mbona muongo huwa anaonekana tu unatega mitego yako na anakamatika tu ukishamkamata unafukuza tu
hahaha baba sa we hupendi hela hata kazi hutaki fanya sa unanisomeshaje jamani