change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Akili za darasa la nne utazijua tu!! Kulipwa pesa nyingi za usajili ndio utastaafu ukiwa tajiri?!! Hizo ambazo amelipwa toka ameanza kucheza Simbasc zimemfikisha wapi?!!Meneja wa Zimbwe anajitambua amekataa kufuga panya kwenye debe la unga. Alisha sema Kama hawakupata maslai mazuri Bora mchezaji aende Gwambina au ihefu kuliko kupata umaarufu Simba alafu unastaafu mpira ukiwa maskini.
Mchambuzi Uchwara Yuleshafii ka post kwamba zimbwe na kapombe walisha sign pre contract yanga kwa hiyo lazima kuna aka advance walivuta TUSUBIRI KUHUJUMIWA TAREHE 8
Hizo ni allegations nzito sana na usisahau kwenye hili sakata Zimbwe junior kamtumia huyo jamaa kama attack dog wake, kwa hiyo Kapombe au Zimbwe wasipokanusha alichopost Dauda kuanzia mechi zinazofata tutawaangalia kwa jicho la tatu kufuatilia kwa karibu hujuma maana haiwezekani una kishika uchumba cha GSM usilipe fadhila ya kuhujumu simbaMchambuzi Uchwara Yule
Ndio ndio..Hizo ni allegations nzito sana na usisahau kwenye hili sakata zimbwe junior kamtumia huyo jamaa kama attack dog wake ,kwa hiyo kapombe au zimbwe wasipokanusha alichopost dauda kuanzia mechi zinazofata tutawaangalia kwa jicho la tatu kufuatilia kwa karibu hujuma maana haiwezekani una kishika uchumba cha gsm usilipe fadhila ya kuhujumu simba
Muoneeni huruma amesoma MBUYUNI Primaryhamjui siri za hawa watu. hawa ni madalali wa watu washenzi kwenye soka. Wanapewa hela kuanzisha vurugu. Dauda amelipwa na Mzozo kusukuma ajenda. Mwaka jana alilipwa mara kadhaa na Eng.Hersi kupiga propaganda kuhusu Simba ila mafanikio ya Simba ndio yana mfua nguo