Pamoja na Zimbwe kusaini mkataba, Mo Dewji usimuite kunywa naye chai

Meneja wa Zimbwe anajitambua amekataa kufuga panya kwenye debe la unga. Alisha sema Kama hawakupata maslai mazuri Bora mchezaji aende Gwambina au ihefu kuliko kupata umaarufu Simba alafu unastaafu mpira ukiwa maskini.
Akili za darasa la nne utazijua tu!! Kulipwa pesa nyingi za usajili ndio utastaafu ukiwa tajiri?!! Hizo ambazo amelipwa toka ameanza kucheza Simbasc zimemfikisha wapi?!!
 
Mchambuzi Uchwara Yule
Hizo ni allegations nzito sana na usisahau kwenye hili sakata Zimbwe junior kamtumia huyo jamaa kama attack dog wake, kwa hiyo Kapombe au Zimbwe wasipokanusha alichopost Dauda kuanzia mechi zinazofata tutawaangalia kwa jicho la tatu kufuatilia kwa karibu hujuma maana haiwezekani una kishika uchumba cha GSM usilipe fadhila ya kuhujumu simba
 
Ndio ndio..
 
Muoneeni huruma amesoma MBUYUNI Primary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…