03 November 2022
Zaidi ya wajumbe 250 toka nchi 40 kutua mjini Zanzibar hayo yamebainishwa na mmoja wa waandaji wa mkutano huo balozi-maalum utalii anayeiwakilisha Seychelles nchi Tanzania Bi Maryvonne Pool ( the Seychelles Tourism Ambassador and Consul Tanzania) ambaye ametoa shukrani kwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyokubali kuwa muandaji mkuu na mwenyeji wa kongamano hilo muhimu.
Zaidi ya wajumbe 250 toka nchi 40 kutua mjini Zanzibar hayo yamebainishwa na mmoja wa waandaji wa mkutano huo balozi-maalum utalii anayeiwakilisha Seychelles nchi Tanzania Bi Maryvonne Pool ( the Seychelles Tourism Ambassador and Consul Tanzania) ambaye ametoa shukrani kwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyokubali kuwa muandaji mkuu na mwenyeji wa kongamano hilo muhimu.