Hahahaha hapana mkuu. Inahitajika as soon as possible. Najua hapa Dar ntapata tuNenda amazon
Weka picha utaje na bei yako.Nahitaji hii simu,hata kama ni mbovu. Mwenye nayo au anaeweza kuipata tafadhali.
hao ndo wale wazee wakutafuta mecury na pasi ya mjerumaniMkuu hizo simu za zamani unataka ya nn