"Pandora papers" ni jeneza la kisisa kwa kambi ya Uhuru Kenyatta,ni Turufu kwa William Ruto

"Pandora papers" ni jeneza la kisisa kwa kambi ya Uhuru Kenyatta,ni Turufu kwa William Ruto

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Kwa hakika "Pandora papers" ni kama pigo kwenye mshono (surgery) baada ya kipigo cha BBI dhidi ya Uhuru Kenyatta na washirika wake.

Mwanasiasa atakayejihusisha na kambi ya Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Kenya mwaka 2022 ni dhahiri atapata tabu kutoka kwa "hustlers" wakiongozwa na William Ruto.

Kitendo cha taarifa ya mamilioni ya dola kuvumbuliwa na taasisi ya waandishi wa kimataifa ni dhahiri itamdhoofisha Uhuru Kenyatta na zaidi kumuondolea uhalali kushawishi wakenya kuhusu pendekezo la mruthi wake katika urais.

Ukizingatia kushindwa kwake kwenye BBI ni dhahiri hili ni pigo kali kwenye mshono.
 
Siasa ya Kenya haiko ivo...ukabila ndio number one.......kwanza wakenya wengi hawajawa surprise na hiyo doc wanajuwa Uhuru Kenyatta Ni billionaire toka zamani..
Kenyatta na scandal zote za mauji na mungiki plus case Hague but still alishinda....
 
Ndugu zangu,

Kwa hakika "Pandora papers" ni kama pigo kwenye mshono (surgery) baada ya kipigo cha BBI dhidi ya Uhuru Kenyatta na washirika wake.

Mwanasiasa atakayejihusisha na kambi ya Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Kenya mwaka 2022 ni dhahiri atapata tabu kutoka kwa "hustlers" wakiongozwa na William Ruto.

Kitendo cha taarifa ya mamilioni ya dola kuvumbuliwa na taasisi ya waandishi wa kimataifa ni dhahiri itamdhoofisha Uhuru Kenyatta na zaidi kumuondolea uhalali kushawishi wakenya kuhusu pendekezo la mruthi wake katika urais.

Ukizingatia kushindwa kwake kwenye BBI ni dhahiri hili ni pigo kali kwenye mshono.

UDA JUU.
NDIYO JUU ZAIDI JUU.
 
Ndugu zangu,

Kwa hakika "Pandora papers" ni kama pigo kwenye mshono (surgery) baada ya kipigo cha BBI dhidi ya Uhuru Kenyatta na washirika wake.

Mwanasiasa atakayejihusisha na kambi ya Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Kenya mwaka 2022 ni dhahiri atapata tabu kutoka kwa "hustlers" wakiongozwa na William Ruto.

Kitendo cha taarifa ya mamilioni ya dola kuvumbuliwa na taasisi ya waandishi wa kimataifa ni dhahiri itamdhoofisha Uhuru Kenyatta na zaidi kumuondolea uhalali kushawishi wakenya kuhusu pendekezo la mruthi wake katika urais.

Ukizingatia kushindwa kwake kwenye BBI ni dhahiri hili ni pigo kali kwenye mshono.
Kwa Kenya wizi uhalalishwe uwe somo la lazima. Kama wewe siyo mwizi huwezi ishi na hawa watu.
 
Siasa za Kenya sio kama hadithi za kwenye vijiwe vya kahawa....wanasiasa wote dunia nzima ni wezi.
 
Hii ndiyo chaguzi ya kipekee kwangu kutokana na wahusika waliopo kwenye game, wawili walikuwa marafiki wakaachana gafla na mmoja akajiunga na mpinzani kumpiga aliyekuwa rafiki.
 
Siasa ya Kenya haiko ivo...ukabila ndio number one.......kwanza wakenya wengi hawajawa surprise na hiyo doc wanajuwa Uhuru Kenyatta Ni billionaire toka zamani..
Kenyatta na scandal zote za mauji na mungiki plus case Hague but still alishinda....
Mkuu unaweza kulizungumuzia kidogo hilo la mungik, maana nilitamani kujua kwa undani!
 
Ila wenzetu Kenya kazi ipo, kule kaskazini njaa yaja, rais wao bilionea.kwa mgongo wao, wao poa tu, yaonekana wizi siyo issue kule..
 
Siasa ya Kenya haiko ivo...ukabila ndio number one.......kwanza wakenya wengi hawajawa surprise na hiyo doc wanajuwa Uhuru Kenyatta Ni billionaire toka zamani..
Kenyatta na scandal zote za mauji na mungiki plus case Hague but still alishinda....
Alishinda nn? Biometric waliiharibu ili "washinde". Kenya imejaa rushwa mwenye pesa ndo anakua kiongozi. Makabwela wanafia Kibera.
 
Aliekua Political economy strategist wa RAILA Odinga master David Ndii sasa yuko ndani kabisa ya Hustler nation na ndio ilie leta bottom up economic model ....sasa Odinga hana wataalam wa uchumi ndio maana ameanza kuleta porojo [emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom