Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi Kificho,kama mwenyekiti wa muda, ana mamlaka ya kuunda kamati ndogo kufuatilia swala la nyongeza ya posho kwa wajumbe wa bunge la katiba?Yeye kama mwenyekiti wa muda si anatakiwa kusimamia uundwaji wa kanuni na sheria za bunge hilo tu?
Hii kasoro hata kama wajumbe wenzake wameiona, wanaweza kujifanya vipofu kwani hata wao watakuwa ni wanufaika wa mapendekezo ya kamati hiyo endapo serikali itayaafiki.
Naomba wanasheria mtujuze uhalali wa jambo hili.
Nahisi Kificho amejipa madaraka yasiyo yake.
Hii kasoro hata kama wajumbe wenzake wameiona, wanaweza kujifanya vipofu kwani hata wao watakuwa ni wanufaika wa mapendekezo ya kamati hiyo endapo serikali itayaafiki.
Naomba wanasheria mtujuze uhalali wa jambo hili.
Nahisi Kificho amejipa madaraka yasiyo yake.