Panga pangua ya machinga Buhongwa

Panga pangua ya machinga Buhongwa

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,443
Reaction score
3,002
Habari wanajavini, leo ilikuwa siku rasmi ya kuwapanga machinga Mwanza, wilaya ya Nyamagana kata ya Buhongwa.

Muitikio ulikuwa mkubwa wa wamachinga kufika mapema sana.

Buhongwa.JPG

 
Hatimayee zoezi lika Anza rasmi, saa sita kasoro kugaiwa vizimbaa wamachinga wa nguo, viatu, mabegi na urembo kwa siku ya leo, na kesho watafata wajasiria Mali wa mboga mbogaa na matunda, vinywaji na mpesa. Na hivi ndo vizimbaa katika eneo la dampo Buhongwa.

IMG_20211021_124355_1.jpg
 
Hatimayee zoezi lika Anza rasmi, saa sita kasoro kugaiwa vizimbaa wamachinga wa nguo, viatu, mabegi na urembo kwa siku ya leo, na kesho watafata wajasiria Mali wa mboga mbogaa na matunda, vinywaji na mpesa. Na hivi ndo vizimbaa katika eneo la dampo Buhongwa.

Nimependa mpangilio, naomba wanasiasa wasiingilie utaratibu huu.
 
Back
Top Bottom