Panta lomoko na nzoto yaani suruali moja mwilini mwaka mzima.

Nguva Jike

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
1,226
Reaction score
1,757
Habari za jioni.

Aisee ndivyo wanavyoitwa wanaume wanaopambania ndoa zao kwa wake zao.Yaani mshono gani utoke mke asiutake.Dume hilo mbio mbio kwenda kusaka mafaranga au maokoto hata kwa kubeti.

Kwi kwi kwi! Linajichekesha kwa mkewe baby nguo hizi hapa.Utaona bibie kafurahi anajaza begi la tatu la nguo.Angalia sasa hilo dume kabegi kake kadogo hakana hata nguo ooh! Panta lomoko na nzoto( suruali moja mwilini mwaka mzima [emoji81])

Aisee wanunulieni angalau nao kabegi kake ka tangu anatoka shule kajaejae nguo[emoji81] Jinunulieni nguo na nyie basi sio muwanunulie wao tu.
 
Tuanzie kwako kwanza,wewe ni ke au me? Mbona unanongwa sana,unataka tusiwanunulie wake zetu nguo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…