Panya road: Kikundi cha uasi kinachopiga jaramba

Panya road: Kikundi cha uasi kinachopiga jaramba

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Kwa sasa huenda kisiwashughulishe sana mafisadi CCM na kwa sababu wanashiba na kulindwa na mabunduki watakipuuza hicho kikundi.

Ukweli ni kwamba panya road wakipata mfadhili na watu wa kuwapanga vyema ki mkakati kitakuwa ndicho kikundi sahihi cha kuitoa CCM madarakani.
 
Hahahahaaa!!kwa maana iyo kimetawanyika nchi nzima unaota ww. Waulize wenzio w KIBITI mpk leo una story zao?nipe maendeleo yao
 
Kwa sasa huenda kisiwashughulishe sana mafisadi CCM na kwa sababu wanashiba na kulindwa na mabunduki watakipuuza hicho kikundi.

Ukweli ni kwamba panya road wakipata mfadhili na watu wa kuwapanga vyema ki mkakati kitakuwa ndicho kikundi sahihi cha kuitoa CCM madarakani.
Hawa akiingia comando mmoja tu anawamaliza wote. Kisikutishe hiki dogo wanawasubilisha tu waue wawili watatu ili kupunguza population ya wajinga baada yapo wawapoteze mazima
 
Kwa sasa huenda kisiwashughulishe sana mafisadi CCM na kwa sababu wanashiba na kulindwa na mabunduki watakipuuza hicho kikundi.

Ukweli ni kwamba panya road wakipata mfadhili na watu wa kuwapanga vyema ki mkakati kitakuwa ndicho kikundi sahihi cha kuitoa CCM madarakani.
Paka road wapo wapi mpaka panya road wanazaliana kiasi hiki?
 
Kwa sasa huenda kisiwashughulishe sana mafisadi CCM na kwa sababu wanashiba na kulindwa na mabunduki watakipuuza hicho kikundi.

Ukweli ni kwamba panya road wakipata mfadhili na watu wa kuwapanga vyema ki mkakati kitakuwa ndicho kikundi sahihi cha kuitoa CCM madarakani.
Nenda kawafadhil basi

Ova
 
Back
Top Bottom