Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
JPM ni tofauti na royo tuwaHahahahaaa!!kwa maana iyo kimetawanyika nchi nzima unaota ww. Waulize wenzio w KIBITI mpk leo una story zao?nipe maendeleo yao
Hawa akiingia comando mmoja tu anawamaliza wote. Kisikutishe hiki dogo wanawasubilisha tu waue wawili watatu ili kupunguza population ya wajinga baada yapo wawapoteze mazimaKwa sasa huenda kisiwashughulishe sana mafisadi CCM na kwa sababu wanashiba na kulindwa na mabunduki watakipuuza hicho kikundi.
Ukweli ni kwamba panya road wakipata mfadhili na watu wa kuwapanga vyema ki mkakati kitakuwa ndicho kikundi sahihi cha kuitoa CCM madarakani.
Paka road wapo wapi mpaka panya road wanazaliana kiasi hiki?Kwa sasa huenda kisiwashughulishe sana mafisadi CCM na kwa sababu wanashiba na kulindwa na mabunduki watakipuuza hicho kikundi.
Ukweli ni kwamba panya road wakipata mfadhili na watu wa kuwapanga vyema ki mkakati kitakuwa ndicho kikundi sahihi cha kuitoa CCM madarakani.
Nenda kawafadhil basiKwa sasa huenda kisiwashughulishe sana mafisadi CCM na kwa sababu wanashiba na kulindwa na mabunduki watakipuuza hicho kikundi.
Ukweli ni kwamba panya road wakipata mfadhili na watu wa kuwapanga vyema ki mkakati kitakuwa ndicho kikundi sahihi cha kuitoa CCM madarakani.