Panya road: Ni nani aliyebatiza jina hilo la kitaalam kabisa?

Panya road: Ni nani aliyebatiza jina hilo la kitaalam kabisa?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Uchambuzi,

Katika kupambana na wahalifu, kuna wakati inabidi tuwaze mbali zaidi.
Ingawa natambua watanzania tulio wengi huwa hatupendi kufikiri Kwa kina;

Naomba Leo tutafakari kwanza maswali yafuatayo;
1. Nini maana ya PANYA ROAD
2. Nani aliyelathimisha jina hilo la kitaalam.
3. Nini malengo ya kutumia jina hilo
4. Inawezekanaje kikundi kama hiko kikasambaa mji mzima na kwa mafunzo yepi kisijulikane kama kipo kweli?
5. Kwanini kilipotea kimerudi tena?

BAADA YA KUPATA MAJIBU YA MASWALI HAYA.
Utagundua kwamba nguvu ya saikolojia inaweza kuhamisha milima.
Sitakaa niamini kama kuna kikundi hiki hadi nipate majibu ya maswali hayo.

Msipojibu maswali hayo msishangae nitakaposema kuna POPOBAWA FISADI.
 
Panya road, Ni panya wa barabarani.
1. Panya ni viumbe vidogo ambavyo vinakera na kuharibu hata vyeti na kuweza kuonekana kama mtumishi hewa ukakosa kazi. Hawa panya road kwa umri wao pia ni vijana wadogo...ambao huaribu ukiwa kwenye mizunguko yako barabarani.
Wengine wataendelea....
 
Wahusika wamebaki Lusaka wahalifu we mitandaoni tu, kikundi cha watu 30- 40 kinaanzishwa , kinapata mafunzo mpaka kinafanya uharifu hadharani mchana kweupe bila kukamatwa ni aibu kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Intelijensia tunayoambiwa Kila Siku panapokuwepo mikutano ya vyama vya siasa iko wapi? . Kama watu wenye pesa zao wasio itakia mema nchi hii wakiamua kuvitumia vikundi hivi ni hakika amani ya inchi itateteleka haswaa. Serikali ijipange pengine wanaviona vidogo lkn hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Wahusika wamebaki Lusaka wahalifu we mitandaoni tu, kikundi cha watu 30- 40 kinaanzishwa , kinapata mafunzo mpaka kinafanya uharifu hadharani mchana kweupe bila kukamatwa ni aibu kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Intelijensia tunayoambiwa Kila Siku panapokuwepo mikutano ya vyama vya siasa iko wapi? . Kama watu wenye pesa zao wasio itakia mema nchi hii wakiamua kuvitumia vikundi hivi ni hakika amani ya inchi itateteleka haswaa. Serikali ijipange pengine wanaviona vidogo lkn hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Nani aliyebatiza hilo jina? Je kuna uhusiano wowote Wa vibaka Wa pande moja ya jiji wakahusiana na pande zingine.
 
Panya road, Ni panya wa barabarani.
1. Panya ni viumbe vidogo ambavyo vinakera na kuharibu hata vyeti na kuweza kuonekana kama mtumishi hewa ukakosa kazi. Hawa panya road kwa umri wao pia ni vijana wadogo...ambao huaribu ukiwa kwenye mizunguko yako barabarani.
Wengine wataendelea....
FB_IMG_1477464289135.jpg
 
Back
Top Bottom