ANAUPIGA MWINGI
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 389
- 757
South Africa ina moja ya Jeshi la Polisi lenye vitendea kazi bora kabisa kwa Bara la Afrika lakini angalia uhalifu.
Hawa Panya Road tunajidanganya wataisha kwa kuongeza nguvu na kumwaga polisi wa kutosha mitaani, hii ni zima moto tu, je chanzo cha hao panya road ni kipi? Je, watawala wana dili na chanzo?
Hawa panya road ni zao la shule za Kata, vijana wanatoka pale wanarudi mtaani hakuna cha kufanya, Hakuna viwanda vya kutosha kwamba wataenda hata kufanya unskilled job, na haiwezekani wote hao wawe wamachinga.
Hii panya road ni genge na huko mbele yatakuja ibuka magenge mengi sana na hapatakalika, South Africa si ilianza hivi hivi? Ule uhalifu wa South Africa si Polisi wao wana nyenzo? Ila wameshindwa. Hili lipo pia Nairobi Kenya.
Wabunge kule Bungeni badala wajadili mambo magumu kwa ajili ya hii nchi wako bise wanajadili vilimo vya bangi na kuruhusu wafungwa wawe wanapiga miti. Tatizo la elimu duni na pia kukosekana kwa ajira na hizi ajira chache za kujuana ndio zinazaa hawa panya road.
Hao wengi ukifuatilia utashangaa ni Form four leaver sasa watafanya nini? Hawajaweza kuendelea na kidato cha 5 na shuleni hakuna ujuzi wametoka nao kwa hiyo miaka yote ya elimu ya msingi pamoja na secondary.
Hii suala halitamalizwa kwa Polisi kujazwa mitaani.
Hawa Panya Road tunajidanganya wataisha kwa kuongeza nguvu na kumwaga polisi wa kutosha mitaani, hii ni zima moto tu, je chanzo cha hao panya road ni kipi? Je, watawala wana dili na chanzo?
Hawa panya road ni zao la shule za Kata, vijana wanatoka pale wanarudi mtaani hakuna cha kufanya, Hakuna viwanda vya kutosha kwamba wataenda hata kufanya unskilled job, na haiwezekani wote hao wawe wamachinga.
Hii panya road ni genge na huko mbele yatakuja ibuka magenge mengi sana na hapatakalika, South Africa si ilianza hivi hivi? Ule uhalifu wa South Africa si Polisi wao wana nyenzo? Ila wameshindwa. Hili lipo pia Nairobi Kenya.
Wabunge kule Bungeni badala wajadili mambo magumu kwa ajili ya hii nchi wako bise wanajadili vilimo vya bangi na kuruhusu wafungwa wawe wanapiga miti. Tatizo la elimu duni na pia kukosekana kwa ajira na hizi ajira chache za kujuana ndio zinazaa hawa panya road.
Hao wengi ukifuatilia utashangaa ni Form four leaver sasa watafanya nini? Hawajaweza kuendelea na kidato cha 5 na shuleni hakuna ujuzi wametoka nao kwa hiyo miaka yote ya elimu ya msingi pamoja na secondary.
Hii suala halitamalizwa kwa Polisi kujazwa mitaani.