Panya road Tabata warudi kwa fujo

Panya road Tabata warudi kwa fujo

ikhlas

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
1,050
Reaction score
1,308
Assalaam Alaikum.

Wadau naskitika kuwa jirani yangu maeneo ya Tabata Bima mtaa wa Madukani jana alivamiwa na Panya Road na kumjeruhi vibaya.

Walivyofanya hivyo hawakutosheka wakawajeruhi na wengine wa 4. Majeruhi wamepelekwa Amana hospitali usiku ule ule.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea majira ya saa 4 usiku. Polis walifika usiku kukagua na pia sungusungu waliimarisha usalama bada ya tukio.

Tuchkue tahadhari waungwana.
 
Panya road wanaanzia kwenye visingeali,wakirudi ndio wanafanya uhalifu...tupige marufuku miziki ya mtaani..kama mtu anafanya sherehe lazima afanyie ukumbini tu...

Mziki wa kisingeli wafuasi wake ni watoto ambao weshindikana na wenye tabia za uhalifu. kama ilivokuwa mnanda miaka hiyo
 
Tabata sio sehemu sahihi kwa usalama wa maisha ya wakazi wake
 
Back
Top Bottom