DOKEZO Panya road wavamia Jitegemee, Mabibo

DOKEZO Panya road wavamia Jitegemee, Mabibo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Usiku wa jana kuamkia leo 7/10 saa nane, wakazi wa Mabibo mtaa wa Jitegemee walivamiwa na panya road, bado hakuna taarifa rasmi kwa upotevu wa mali na majeruhi.

Baada ya taarifa kuwa polisi wanawashugulikia panya road na baadhi wakionekana kukamtwa, imekuaje wakaibuka tena?
 
Usiku wa jana kuamkia leo 7/10 saa nane, wakazi wa Mabibo mtaa wa Jitegemee walivamiwa na panya road, bado hakuna taarifa rasmi kwa upotevu wa mali na majeruhi.

Baada ya taarifa kuwa polisi wanawashugulikia panya road na baadhi wakionekana kukamtwa, imekuaje wakaibuka tena?
Hao mtetezi wao Abdul Nondo anasema tufuate sheria kudilinao hao panyarodi, Sasa ngojea siku wamvamie yeye ndio atajua hao watoto ni wakuua tu
 
Intelegency inaonyesha hawa panya road watakuwa wametokea maeneo ya kigogo, mburahati na maeneo jirani,#wakazi wa kigogo tusaidieni kuwafichua.
 
natamani wakatishe anga zetu tuwabanike kama mishikaki.
Dawa yao nikuwageuza kuwa mishikaki tu.
 
Usiku wa jana kuamkia leo 7/10 saa nane, wakazi wa Mabibo mtaa wa Jitegemee walivamiwa na panya road, bado hakuna taarifa rasmi kwa upotevu wa mali na majeruhi.

Baada ya taarifa kuwa polisi wanawashugulikia panya road na baadhi wakionekana kukamtwa, imekuaje wakaibuka tena?
Dawa yao ndogo, kila mtu akae na jagi la pilipili !! Wakiingia tuu wamwagie usoni, utawakamata na kujipigia upendapo.
 
Back
Top Bottom