Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Dah Hizo ni propaganda aseeSi tuliambiwa wamewaangamiza, hakuna tena cha panya road
Politics mkuuSi tuliambiwa wamewaangamiza, hakuna tena cha panya road
98% ya waliokamatwa sio Panya roadSi tuliambiwa wamewaangamiza, hakuna tena cha panya road
Ndo mnatetea waalifu nyiee...!! Kama sio panya road why matukio yamepunguaaa...????98% ya waliokamatwa sio Panya road
Hao mtetezi wao Abdul Nondo anasema tufuate sheria kudilinao hao panyarodi, Sasa ngojea siku wamvamie yeye ndio atajua hao watoto ni wakuua tuUsiku wa jana kuamkia leo 7/10 saa nane, wakazi wa Mabibo mtaa wa Jitegemee walivamiwa na panya road, bado hakuna taarifa rasmi kwa upotevu wa mali na majeruhi.
Baada ya taarifa kuwa polisi wanawashugulikia panya road na baadhi wakionekana kukamtwa, imekuaje wakaibuka tena?
Watheenge hao achana nao mkuuNdo mnatetea waalifu nyiee...!! Kama sio panya road why matukio yamepunguaaa...????
mnadhiaka Sana kwa vyombo vya usalama,kwahiyo wao inamaana hawajui hila wewe ndo wajua zaidi98% ya waliokamatwa sio Panya road
punguza hisia kali ww shusha nondo zako kuhusu panya road tumnadhiaka Sana kwa vyombo vya usalama,kwahiyo wait inamaana hawajui hila wewe ndo wajua zaidi
Ficha upumbavu wako usidhani kila mtu ni CHAWA Jiheshimu kijana.mnadhiaka Sana kwa vyombo vya usalama,kwahiyo wait inamaana hawajui hila wewe ndo wajua zaidi
Dawa yao ndogo, kila mtu akae na jagi la pilipili !! Wakiingia tuu wamwagie usoni, utawakamata na kujipigia upendapo.Usiku wa jana kuamkia leo 7/10 saa nane, wakazi wa Mabibo mtaa wa Jitegemee walivamiwa na panya road, bado hakuna taarifa rasmi kwa upotevu wa mali na majeruhi.
Baada ya taarifa kuwa polisi wanawashugulikia panya road na baadhi wakionekana kukamtwa, imekuaje wakaibuka tena?