Panya Road wavamia raia Mabibo, wajeruhi na kupora mali

Panya Road wavamia raia Mabibo, wajeruhi na kupora mali

Joined
Jul 3, 2020
Posts
29
Reaction score
63
Jumatatu iliyopita vijana wahalifu maarufu kama panya road wamevamia watu, wawaibia kisha kuwajeruhi kwa mapanga.

Mmoja wao kapigwa mapanga kichwani na kupoteza damu nyingi nusura apoteze maisha. Baada ya kujeruhiwa kaporwa simu na PESA nyingi.

Mwingine kaporwa simu, PESA na passport na kujeruhiwa kwa kukatwa na mapanga sikioni na kukatwa kabisa sikio.

Matukio haya yote yametokea maeneo ya Mabibo Ushese wilaya ya Ubungo,Dar es Salaam.
 
Jumatatu iliyopita vijana wahalifu maarufu kama panya road wamevamia watu, wawaibia kisha kuwajeruhi kwa mapanga.

Mmoja wao kapigwa mapanga kichwani na kupoteza damu nyingi nusura apoteze maisha. Baada ya kujeruhiwa kaporwa simu na PESA nyingi.

Mwingine kaporwa simu, PESA na passport na kujeruhiwa kwa kukatwa na mapanga sikioni na kukatwa kabisa sikio.

Matukio haya yote yametokea maeneo ya Mabibo Ushese wilaya ya Ubungo,Dar es Salaam.
Afande IGP mpya, Camilius Mongoso Wambura anza na hii kitu, hawa wanaojiita panya road, wanataka kujiona kama wameshindwa kudhibitiwa. Mkuu anza nao hao!
 
Inasemekana polisi wameshuka molari ya kufanya kazi maana Hangaya anawasemea shit Sana, kila kukicha mara ooh hawatendi haki kwa watuhumiwa, mara ooh wanakula rushwa....
si kwelii wamezidisha tamaa mbele
 
Aisee wananchi wanashindwa kuungana kuwasambaratisha hao panyarodi daah!?
 
Back
Top Bottom