Panya Wa Mikoani

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Jamaa alikuwa amelala na mkewe akasikia sauti ya
paka akilia kwa uchungu nje ya dirisha lake, akatoka
nje, kwa maajabu akamkuta panya anambaka paka.
Akaangalia mpaka mwisho hakuamini macho yake,
akamkamata panya yule kabla hajapata akili
sawasawa na kwenda kumsogeza kwa mbwa jike aliyekuwa naye, panya haraka akamuwahi mbwa na
kumbaka 'live'. Jamaa akaona hii kali kuliko zote heri
akamwambie mkewe. Akamchukua panya na
kwenda nae chumbani kwake, akamuamsha mkewe,
ile mke kumuona tu yule panya, akapiga ukelele;
MKE: Mtoe mtoe mshenzi huyo alinibaka jana huyo mtoe upesi.
 
kwe kwe kwe
panya wa kudhania huyo...
 
Huyo atakuwa jerry!si unaonaga tom anavyohenyeshwa
 
Ahsanteni kwa kuja. Na viwanda mpk vifike tutakuwa tushasalim amri
 
uko wapi uhusika wake wa 'mkoani' kama ulivyoandika kichwa? vinginevyo KUKIPINGA KITU NI KUKITANGAZA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…