Naona kila mwaka na janga lake kwenye kilimo.Mwaka Jana mavuno yalipatikana lakini janga likawa bei kushuka mpaka kufikia gunia kuuzwa 20,000tsh.
Mwaka huu tumeshambuliwa na panya wanakula mbegu ardhini mpaka sasa hatujajua cha kufanya,wengine wanarudishia zaidi ya Mara tatu.
Tatizo kubwa ni kuchelewa kwa mvua ukilinganisha mwaka Jana .
Kyamyorwa ni kilio mwaka huu. Je huko kwenu vipi?
Naomba kuwasilisha.