Panya mkubwa wee!!Panya watatu walikuwa na ubishi kati yao kwamba nani ni mkali kati yao?
Panya no 1: Mimi naweza kutegua mitego yoyote ile sishindwi kitu.
Panya no 2: Mimi naweza kunywa maziwa yenye sumu bila kudhurika chochote.
Panya no 3: Yeye aliamua kuondoka kimya kimya tu bila kusema kitu wale wenzie wakamuuliza kulikoni mwenzetu mbona unaondoka tu bila kusema kitu?
Panya no 3: Akawaangalia akatikisa kichwa akawaambia " sasa mimi naenda kum- do paka kinyume na maumbile.
Nani atakuwa amewashida wenzake?
Yaani mkuu,haya majibu yako ndo yamenivunja mbavu du!Panya mkubwa wee!!