Papa Francis anashikilia rekodi ya kupata followers wengi instagram mara baada ya kujiunga

Papa Francis anashikilia rekodi ya kupata followers wengi instagram mara baada ya kujiunga

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
1578731928340.png

Papa Francis anashikilia rekodi ya kupata followers wengi instagram mara baada ya kujiunga

Akitumia jina la Franciscus, Pope Francis ( Jorge Mario Bergoglio ) alipata followers hao Millioni moja instagram masaa 12 baada ya kujiunga Instagram tarehe 19 Machi 2016.

Rekodi hiyo ilivunja rekodi ya mwanzo ya mchezaji mstaafu David Beckham (UK), ambaye alipata followers million moja ndani ya masaa 24 baada ya kujiunga tarehe 2 Mei 2015.

Hizi rekodi kwa mujibu wa Kitabu cha Guinness cha mwaka 2019
 
View attachment 1319338
Papa Francis anashikilia rekodi ya kupata followers wengi instagram mara baada ya kujiunga

Akitumia jina la Franciscus, Pope Francis ( Jorge Mario Bergoglio ) alipata followers hao Millioni moja instagram masaa 12 baada ya kujiunga Instagram tarehe 19 Machi 2016.

Rekodi hiyo ilivunja rekodi ya mwanzo ya mchezaji mstaafu David Beckham (UK), ambaye alipata followers million moja ndani ya masaa 24 baada ya kujiunga tarehe 2 Mei 2015.

Hizi rekodi kwa mujibu wa Kitabu cha Guinness cha mwaka 2019

Hivi, watu walivyopinda hivi, huwa hawaropoki kwenye page ya baba mtakatifu?
Kha!
 
Nnajua YAI ndio lilivunja rekodi ya followers kwa muda mfupi.
 
Back
Top Bottom