eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani anatarajiwa kutua nchini Uganda mwezi ujao kwa ziara ya kitume nchini humo katika ziara hiyo pia papa Francis anatarajia kukutana pia na rais wa nchi hiyo yowery museveni