Papaa Msofe akabiliwa na kesi ya mauaji


predeshee AMOS MAKALA mbunge . baada ya kuiba sana ccm alipokuwa mhasibu wa ccm yeye kwa kushirikiana na ROSTAM AZIZ. ndio akawa naye anagawa pesa kwa wasanii ili wamuimbe aonekane mjanja kuficha USHAMBA WAKE . kweli huyu mtu hana akili . sasa hivi ndio naibu waziri huyu ndugu hata lugha ya english haipandi sasa sijui itakuwaje akienda nje au akipata mgeni . yetu macho.
 
wakuu mwenye picha ya papaaa msofe airushe ili tumuone
 

na vipi kuhusu bo xilai mwenyewe? kwani nae alihusika ktk mauwaji? na mbona hajafikishwa mahakamani?
 
Ukweli husemwa:

na vipi kuhusu bo xilai mwenyewe? kwani nae alihusika ktk mauwaji? na mbona hajafikishwa mahakamani?

Hii kesi imejaa michanganyiko kiasi ambacho siyo rahisi kujua nini hasa kinaendelea hasa ukichukulia kuwa China bado inaendesha mambo yake kwa usiri sana kiasi kwamba kilichobaki ni tetesi tu bila kujua undani wake.

Kwa ufahamu zaidi, Soma hii article ya gazeti Kwenye gazeti maarufu la waingeleza.

Neil Heywood scandal: Wang Lijun 'has been secretly put on trial'

The Chinese police chief who revealed the murder of Neil Heywood has already been secretly put on trial, a report claimed on Monday.

Wang Lijun could face prosecution for being an accessory to the crime, as well as charges of treason for handing over information to the United States Photo: Getty Images








By Malcolm Moore, Beijing and Tom Phillips in Shanghai

2:47PM BST 13 Aug 2012


Wang Lijun, 52, was tried behind closed doors in the central city of Chengdu on Monday morning, according to Cable TV, a Hong Kong television channel. The channel did not reveal any sources for its information.

However, a spokesman at the Chengdu People's Intermediate Court said he had "not heard" of any trial taking place, or if there would be a trial in the future. Other sources suggested a trial may take place in the coming few days.

Mr Wang played a key role in exposing Mr Heywood's murder, allegedly fleeing to the US consulate in Chengdu with a piece of the British businessman's heart.

However, he may also have been involved in planning and covering up the murder. Last week, as Gu Kailai, the wife of the Chinese politician Bo Xilai was put on trial for the killing, the prosecution argued that Mr Wang had known about the plot "all along".

"Wang knew about it all along. He and Gu discussed whether to frame Heywood as a drug dealer, but they gave up this idea," said a lawyer involved in the case to the Los Angeles Time. Mr Wang could face prosecution for being an accessory to the crime, as well as charges of treason for handing over information to the United States.

It was only after Mr Wang fled to the US consulate, dressed in a lady's wig and in apparent fear for his life, that the UK asked for an investigation into Mr Heywood's death last November to be reopened, sparking China's biggest political crisis for decades.
Four of Mr Wang's colleagues at Chongqing's police bureau were tried last Friday for trying to help Mrs Gu cover up the crime.
Steve Tsang, from the University of Nottingham, said Mr Wang's treatment might offer an indication as to whether there was "a much bigger plot" behind Mr Bo's fall.
"The Wang Lijun trial will be much more interesting [than Gu's]. The trial, if it comes to that, will be just as carefully and tightly controlled. That is what I will be watching to see what happened."
"When something is decided on how Wang Lijun is to be treated we will have a better sense of if he was being 'required' to do what he did, ordered to do it."
"Betrayal of the Party is actually more serious than treason. The Communist Party has a record of being extremely harsh on traitors, much harsher than on its enemies. If he comes out lightly it means he is not being treated as a traitor. That could only be the case if he was ordered to do what he did and was successful in doing it."
"He is expendable. But if he gets off lightly it confirms ... that there is a much bigger player [behind Bo Xilai's fall]."
 
kuna mpuuzi mmoja anatajwa sana na wanamziki wa bendi za dansi za bongo.wanamdadi kwa jina la eti "ustadh juma na musoma".ningependa kujua taarifa za huyu mtu wakuu.je naye yupo kundi moja na kina msofe?
 
Kwa Mungu kila goti litapigwa. Fanya ufanyavyo malipo lazima, Huyu bwana ndio mwisho wake sala za wahanga na waliopatwa na majanga zimefika kwenye kiti chake MKUU.
 

kaka
bado Bo Xilai hana mashitaka hapo na hata juzi wakati mke wake anasomewa mashitaka bado walikuwa wanajiuliza kama Bo Xilai alikuwa akielewa mauaji hayo ama la,na kma unavyo ona yule polisi aliyeshughurikia kesi hii mwanzo alisema kuwa huyu jamaa wa uk alikufa kwa unywaji wa pombe nyingi na baada ya kuona mambo yamekuwa magumu alivalia wigi kichwani na kukimbilia ubalozi wa usa
nadhani adhabu ya kufukuzwa bo xilai chamani inatosha kwa wachina kwani huyu bwana elewa kuwa alikuwa ni kati ya viongozi 9 muhimu ktk chama.lakini wei jiabao hakulitazama hilo na kumtema jamaa
je tz tunaweza haya?
 
Nashangaa mpaka aue ndio akamatwe, tena mopaka polisi wajishauri kwa muda mrefu. Papaa msofe ni tapeli, labda nitumie neno mnyang'anyi kwani huwa anafanya waziwazi hasa kwenye viwanja maeneo ya mbezi beach, na hilo liko wazi kwa jeshi la polisi!! Amwadhulumu sana wasio nacho haki zao

Mungu hatupi waja wake, hatimaye amekamatwa. Naomba wanasheria wajipange vizuri mtu huyu asirudi uraiani, ni hatari mno!!!!
 

Huyo wakili ni marehemu sasa ..soma hapa:https://www.jamiiforums.com/sports/...wa-mshabiki-wa-yanga-amefariki-dunia-leo.html
 

Marijani Abdubakari charged with murder awaits final procedures before armed police escorted him to Segerea prison yesterday. Photo: Tryphone Mweji


A prominent city businessman Marijani Abdubakari Msofe alias Papaa Msofe (50), a resident of Mikocheni yesterday appeared at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam charged with murder. The prosecution led by State Attorney Tumaini Kweka told the court that the accused committed the offence on November 6, last year, at Magomeni Mapipa in Kinondoni District.

Before Resident Magistrate Agnes Mchome, Kweka alleged that on that day the accused (Msofe) murdered one Onesphory Kitoli.
The accused was not allowed to enter any plea because the Kisutu Resident Magistrate's court does not have jurisdiction over murder cases which are normally heard at the High Court. Kweka informed the court that investigations into the case were still underway.
Magistrate Mchome adjourned the case to August 23, this year when it comes up for the first mention.

Msofe appeared at the Kisutu premises at 3:30 under escort of three plainclothes policemen, two of them armed with a gun each.
‘Papaa Msofe' was wearing a black pair of trousers and a blue shirt, and remained under custody until 11:33 when he was brought to the court to hear his charge. He left the Kisutu court premises at around 12:05 in a Landcruiser Car with registration number PT 1447, escorted by six policemen, some of them armed.

Msofe was arrested two weeks ago when a commander of police Kinondoni special zone Charles Kenyella said they were holding him at the Magomeni Police station on suspicions of having killed a fellow businessman, Onesphory Kituli. Narrating the incident, commander Charles Kenyela said that Papaa Msofe was arrested after the murder of Kituli, a resident of Magomeni in Dar es Salaam. He said before the killing, Papaa Msofe and the late Kituli were fighting over a house, which he had bought on mortgage after he had paid advance payments of Sh 30m.

Kenyala added that police were also still looking for another suspect whom he didn't name in connection with the murder, who was still at large. Kenyela explained that Papaa Msofe gave the said money to Kituli on condition that the latter would forfeit his property if he failed to pay the money back. However, Msofe and unidentified ‘colleagues' are alleged to have started ‘threatening' the late Kituli over the issue. He added that in the crisis that followed, the late Kituli filed a case in court, but the man was later found dead in front of his house on the day judgment was due to be made in court. Nothing was taken from the house.

SOURCE: THE GUARDIAN

 
Waungwana amini msiamini Msofe atatoka tu, kumbukeni mauaji ya wale wafanyabiashara waliouliwa kwa kupigwa risasi na kesi kuwangukia kina zombe!! Bado ilionyesha wakina msofe na mtanadao wake walihusika.. Kila siku wanawatapeli wazungu na dili zikiwa zinafanyika, police,usalama wa taifa,tra,na uhamiaji wanahusika, tena ni wachangiaji wakubwa wa vyama vya kisiasa ikiwemo ccm na nccr, timu ya yanga na nk. Kituo cha police oystabey kinahusika kwa asilimia mia, ndio maana dili nyingi hufanyikia maeneo ya kinondoni,.. Mzamil katunzi ofisi zake zinajulikana moja ipo mikocheni B plot Namba 549 chini kidogo ya rose garden upande wa kulia karibu na kwa Ridhiwan Kikwete, ofisi nyingine ya utapeli wa muzamil ipo Sinza mori nuyuma ya meeda nyumba ya gorofa moja imejengwa kwenye kiwanja alicho mtapeli mama mmoja ambaye anaishi nyuma ya hilo ghorofa la Muzamil, jengo linaitwa Muzasha house, na sasa hivi amebadilisha jina la kampuni yake badala ya Muzasha tours and Safaris inaitwa KM travel agency. Hiyo nyumba ya sinza ni plot No 888. Kule tegeta Muzamil anaeneo kubwa sana ambapo dilli zote za kontena za copa fake hufanyikia huko, kwa kifupi dili hizi zimekuwa zikinufaisha vyombo vya dola police, migration,tra, mkemia mkuu,wizara yanishati na madini na viongozi wengine wengi wakihusika moja kwa moja. Muzamil anawafanyakazi wasomi wengine wahaya wenzake wengine wachaga na wakongo, yani vijana wake wanatembelea magari ya kifahari na wanaishi maeneo ya beach na anawalipa vizuri sana kiasi kwamba hawawezi kumsaliti. Papaa msofe na jack pemba ndio mwalimu wa Muzamil katunzi, walifanya nae dili nyingi na wakamzulumu hata yeye na ndio muzamil akaamua kufanya kivyake na kufanikiwa sana kuliko walimu wake kwa kifupi msofe hafikii hata robo ya mali alizonazo muzamil. Kituo cha police oystabey kimekuwa kama cha muzamil kwani mwaka jana mkubwa wa kituo hicho alikuwa muhaya mwenzie. Ndugu zangu watanzania hawa jamaa hakuna dola ya kuwaweza nchi hii labda jwtz iingilie kati maana kama mkuu wa kaya kama mwenyekiti cha chama anakubali michango yao iingie ndani ya chama na kuipokea hii ni kuonyesha ni jinsi gani anawakubali na kuwaunga mkono. Msofe kama atapatikana na hatia basi atafungwa miaka isiyozidi mitatu.. Mwanasheria wa Muzamil anaitwa Benisho L. Mandele ofisi yake ipo msimbazi NK buildings, 3rd flour. Muzamil anapiga dili za mpaka usd ml 6. Amazo ni zaidi ya billion 6 kwa mkupuo mmoja na peasa hizi huzisafisha kutumia kampuni yake ya tours na car hire, pia hujenga majengo na kuzungushia uzio kwenye viwanja anavyovitapeli, na pesa nyingi hizi zimekuwa zikipitishwa na wizara ya mambo ya ndani enzi zile za masha masha alihusika moja kwa moja, pia mpiga dili mwingine anaehusika huwa tengenezea ramani ni makongoro mahanga. Wengine nitawataja baadaye kwani mtandao huu ni mkubwa sana naweza kunandika haya kwa kuwa najua hawana cha kufanya kwa kuwa wote wanahangaika na kesi sasa hivi maana mtaalamu wa utapeli wa muzamili katunzi prakash patel nae nakesi mahama ya kisutu lakini yupo nje kwa dhamana. Wadau mliopo dar fuatilieni hii kesi ya prakash patel ni muhindi anaetapili na muzamilia. Wakiwa wanafanya dili huyu muhindi hujifanya kama ndie boss halafu muzamil ndio mfanyakazi wake na wakati mwingine huchukua wafanyakazi wake huwa mabosi wake wakati wa dill. Nawasilisha.
 
mwingine alikuwa ANAITWA ELLY RAIS WA MBEZI huyu alikufa na ukimwi . ameambukiza h.i.v wanafunzi wengi sana wa secondary kuanzia na mbezi high school hadi tegeta.

huyu bwana mdogo namfahamu sana alikuwa anaenda mpaka Dubai kupiga aliishawaliza mpaka shirika la ndege la Ethiopia,alikufa kwa moto
 
mwingine alikuwa ANAITWA ELLY RAIS WA MBEZI huyu alikufa na ukimwi . ameambukiza h.i.v wanafunzi wengi sana wa secondary kuanzia na mbezi high school hadi tegeta.

alikuwa mfuasi wa msofe,kawaliza sana raia
 

dili chafu!?...siwezi kukataa kabisa kwakweli.............fake lawyer!!?....nah nah nah!the dude was veeery good in his proffession..nimethibitisha hili mara kadhaa!well,kwake kulikua ''watoto'' wazuri pia..lolz!
 
Ni miaka 6 kamili tangu uandike hii comment.
 
alimtapeli huyo mzungu deal gani??
 
wanawaibia wazungu madini kivipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…