🤣🤣 Kijana anamwaga radhiBaada ya pombe kukata kesho utaogopa kuufungua huu uzi wako bwashee.
Unyama sana mkuunalikubali sahivi balaa nikaona nilidedicate kwa mhusika mwenye jina.
kasongo tuliaMbona wewoo
Sema umezingua. Mwanamme umenamwambia je demu nikajua unaninyeshea shithahaha nakubali sana mkuu [emoji7]
Nikajua utaninyeshea sh!t [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wee fanya ahame huko team kataa ndoa.
Weraaa Weraaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha MC coca DJ shikilia hapo shikilia
nilimnyeshea sh!T PM ndio maana nikadhani atayaleta huku