Papapuu

Ni Jojo!

Nani mwingine?

Ni Jojo tu!

Katika ukungu na mang'amung'amu ya fikra za kuwako
Katika njia panda ya ujana na ukomavu
Ujinga na busara vilipokonyezana
Ni Jojo pekee aliyejitokeza ili kukata shauri
Katika moyo wa Nomadix uliopondeka

Ni Jojo tu hakuna mwingine!
 
hahaha [emoji23]
Aisee aya bhana
 

Nielekeze kutag kama hivyo Jojo halafu nikaja mimi please 🙏😀
 
hahaha nakubali sana mkuu [emoji7]
Nikajua utaninyeshea sh!t [emoji23]
Sema umezingua. Mwanamme umenamwambia je demu nikajua unaninyeshea shit

Hapo amekushusha sana grade. Jifunze kusimamia vita Ulio ianzisha.
 
+251975291491
 
Sema umezingua. Mwanamme umenamwambia je demu nikajua unaninyeshea shit

Hapo amekushusha sana grade. Jifunze kusimamia vita Ulio ianzisha.
nilimnyeshea sh!T PM ndio maana nikadhani atayaleta huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…