Pape Sakho abadilike, vinginevyo mashabiki tutamsusa

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Pape Sakho ni mchezaji mzuri sana ila ana kasoro nyingi sana, ni mchezaji laini sana, sio fighter kama Kibu Denis, anakabika kirahisi halafu ana dharau wakat bado mashabiki hawajaridhika naye, sio mchezaji ambaye unaweza kumtegemea kubadilisha mchezo au kufanya maajabu sana, Simba inaweza kumuuza na kumrudisha Micquisone kama biashara itakuwepo.
 
Very true, sakho ana mbwembwe na purukushani zisizo na tija. Abadilike maana kucheza na mpira tu haitoshi tunahitaji mabao mengi kuliko show off.
 
Sakho ni mchezaji wa kawaida. Hana maajabu yoyote. Kama ningemshauri basi ajikite kutoa pasi na sio kukimbiakimbia bila akili wala manufaa.

Kibu ni mchezaji wa hovyohovyo. Kila wakati anapoteza mipira. Anakaa na Mpira muda mrefu bila sababu. Anapiga pasi mbovu na za uoga. Ana safari ndefu bado.
 
Tatizo lake anataka achekeshe uwanja kwa chenga zisizosaidia timu
 
Mayele Kaweka Mgomo Baridi anadai ng'ombe wake..... Kuna wahuni walimwambia wanamuhifadhia sasa hata Simu hawampokelei..!!..😂😂
 
Sakho ni Sunday Juma mpya, anakimbia na mpira muda wote ajui kua mpira unakimbia kuliko yeye.
 
Nadhani Jana mmethibitisha maneno yangu kwamba Sakho si mchezaji hatari ila ni mchezaji machachari.
 
Point
 
Sakho abadilike tunamfatilia kwa ukaribu sana uchezaji wake.
 
Hakuna mchezaji anaye perform kila mechi hata huko ulaya hayupo bongo kweli nyoso.
 
Mchezaji gani Happ tz wanaweza kufananishwa na sakho kwa ubora na kiwango ....hkn hata mmoja kjn Ana mpira wake wa kipekee ssn
Huyu sakho hata robo ya hili zombie Morrison!! Ubora hupimwa kwa takwimu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…