Kupenya kwenye selection ya timu ya taifa ya Senegal siyo jambo dogo. Ameonekana kwa sababu ya uwepo wake Simba.Nyota wa klabu ya Simba Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye kikosi cha wachezaji 24 cha timu ya Taifa ya Senegal chini ya Kocha Mkuu Aliou Cisse kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Mozambique.View attachment 2555206
Kwani makombe hatuna?.yapo mengi tuu waseme lingineUtopolo kwa wivu ni hatari, hapa haitapata muda wanasema hili ndo kombe lao Simba
Kwani nyie si mna wachezaji mpaka wamecheza NewCastle Utd hawaitwi huko kwao?!
Mioyo,,,Mioyo inaenda mbio sana Simba taratibu kuna watu wanapresha.
Caf super league Simba wamo.
vikosi bora vya caf Simba wamo.
vikosi vya tuzo za caf Simba wamo.
vikosi vya kombe la Dunia Simba wamo.Faamchezo nini,,,!
kwanini Simba tu kwani hii nchi akuna timu zingine?
sisi Yanga roho zinatuuma ni basi tu,ila Mungu yupo.😅😂
Huu ndio ukwerii ndugu zangu..au nasema uongo???Kupenya kwenye selection ya timu ya taifa ya Senegal siyo jambo dogo. Ameonekana kwa sababu ya uwepo wake Simba.
Kwani ni safari ile au sinema iwe na mwisho?Okra kucheza Wodi kapu iliishiaga wapi guvu moya wenzangu ?
Makombe matano hayo aisee mwaka wenu huuMioyo,,,Mioyo inaenda mbio sana Simba taratibu kuna watu wanapresha.
Caf super league Simba wamo.
vikosi bora vya caf Simba wamo.
vikosi vya tuzo za caf Simba wamo.
vikosi vya kombe la Dunia Simba wamo.Faamchezo nini,,,!
kwanini Simba tu kwani hii nchi akuna timu zingine?
sisi Yanga roho zinatuuma ni basi tu,ila Mungu yupo.[emoji28][emoji23]
sisi Yanga tunabeba sana mataji msimu huu.Makombe matano hayo aisee mwaka wenu huu