Uto wataenda tff kukata rufaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongera kijana maana uto watapinga hilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alicheza tena siku tunawakanda 2 alikuwepo dimbaniKama walivyokuletea muuza bia London wakasema ni mchezaji wa Newcastle Utd.
Dah we jamaa una wivu hatari. Na huyo si muda mrefu Simba wanaenda kumuuza Ulaya kwa bei mbaya sana halafu wala haitakuwa ishu.Watu kama hawa unashindwaje kuwaletea Manzoki kwenye mkutano?
Sijui ni ushamba au ulimbukeni, ajabu ni ipi mchezaji kuitwa timu ya Taifa?Dah we jamaa una wivu hatari. Na huyo si muda mrefu Simba wanaenda kumuuza Ulaya kwa bei mbaya sana halafu wala haitakuwa ishu.
Ni heshima kwa Simba na Utopolo pia, na inafungua milango kwa vilabu vya Afrika na nje pale wanapopitia majina ya Wachezaji walioitwa, haya huwezi kujua kitu kwasababu haya ni mambo magumu kwako labda uwe Sunday au Kikwete.Sijui ni ushamba au ulimbukeni, ajabu ni ipi mchezaji kuitwa timu ya Taifa?
Pamoja na kutofautiana na wewe mara nyingi humu ndani kutokana na tofauti zetu za kishabiki, huwa nakuchukulia mtu fulani mwenye heshima zake. Kuna vitu sitegemei kusikia kutoka kwako.Sijui ni ushamba au ulimbukeni, ajabu ni ipi mchezaji kuitwa timu ya Taifa?
Kuna tofauti kati ya kuitwa timu ya Taifa na kuitwa timu ya SenegalSijui ni ushamba au ulimbukeni, ajabu ni ipi mchezaji kuitwa timu ya Taifa?
Kwahio hii nayo ni habari ya kujadili?Pamoja na kutofautiana na wewe mara nyingi humu ndani kutokana na tofauti zetu za kishabiki, huwa nakuchukulia mtu fulani mwenye heshima zake. Kuna vitu sitegemei kusikia kutoka kwako.
Ni wiki hii hii tumekuwa na mijadala ya kuhusu uchaguzi wa wachezaji wa Taifa Stars, sikuona ukihoji hilo. Leo Sakho anaenda kuwa katika kikosi cha timu bora Africa, akicheza pamoja na mmoja wa wachezaji bora duniani, akicheza na kikosi kizima cha wachezaji wanacheza Ulaya, halafu unajaribu kushusha umuhimu wa hilo jambo. Kama siyo wivu ni nini?