Pape Sakho aitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal

Taja na wachezaji walioitwa kikosi cha Mali, wanaocheza africa ni wangapi wameitwa? Vitu kama ivyo watu tulishaona vya kawaida nyie mnaweka na sherehe kabisa? Acheni ajenda nyepesi kama izo zisizokuwa na maana yoyote
Kwani kwenye Viwango vya Ubora Afrika, Senegal wapo sawa na Mali? Acheni ujinga wa kujipa mafanikio ambayo hayapo nyie Utopolo.
 
Taja na wachezaji walioitwa kikosi cha Mali, wanaocheza africa ni wangapi wameitwa? Vitu kama ivyo watu tulishaona vya kawaida nyie mnaweka na sherehe kabisa? Acheni ajenda nyepesi kama izo zisizokuwa na maana yoyote
Eti "Vitu kama ivyo watu tulishaona vya kawaida" 🤣😂🤣 Yanga mnajuaga sana kujimwambafai msionekane wanyonge.

Kwa hiyo timu isitoe ripoti wachezaji wake wanapoitwa timu za taifa? Kwanza ni jambo la fahari. Wivu utawaua.
 
Kwani kwenye Viwango vya Ubora Afrika, Senegal wapo sawa na Mali? Acheni ujinga wa kujipa mafanikio ambayo hayapo nyie Utopolo.
Kuna watu wanakujaga na kauli za ajabu hadi unashangaa kisa tu apate kitu cha kukosoa. Nimemshangaa sana huyo jamaa. Mpira wetu kweli unalea roho mbaya.
 
Kama walivyokuletea muuza bia London wakasema ni mchezaji wa Newcastle Utd.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ligonjwa piaaa.
 
Sakho ndo ameshaitwa national team na anakwenda kupiga tizi moja na sadio mane, jiuweni kama mmeumia sana..
 
Eti "Vitu kama ivyo watu tulishaona vya kawaida" 🤣😂🤣 Yanga mnajuaga sana kujimwambafai msionekane wanyonge.

Kwa hiyo timu isitoe ripoti wachezaji wake wanapoitwa timu za taifa? Kwanza ni jambo la fahari. Wivu utawaua.
Akuna wivu mnaonekana mlivyo na kaujinga fulani hivi vichwani mwenu, kwani yanga imetoa wachezaji wangapi walioitwa kwenye timu za taifa ambazo ni kubwa? Mbona atujaona wanapiga kelele hapa? Diarra kaitwa Mali, Azizi ki kaitwa burkinafaso, Mayele kaitwa kongo, Aucho kaitwa uganda, Musonda kaitwa zambia, mbona wao wametulia tuli bila mapambio?
 
Kila mtu na mpango wake, unapangia wengine mambo ya kufanya we nani? Kwani aliyewaongelea Yanga ni nani kwenye ile taarifa ya Simba? Acheni kujishtukia na kuona kila jambo mnaweza kushindana na Simba, mtachanika msamba.

Who gives a damn about your players anyway?
 
Eti Mbona Ki kaitwa Burkinafaso, Mayele Kongo, Musonda Zambia, Diara Mali, hivi hayo mataifa unalinganisha na Senegal kimpira? Wewe kweli mwehu, mbona Simba kuna Henock kaitwa Kongo, Chama kuitwa Zambia kama hivyo mbona ni kawaida tu

Huyu amekuwa gumzo kwasababu wanaingia kikosini na akina Sadio Mane (Bayern Munich) Boulaye Dia (Villareal) Bamba Dieng (Loliente) Dialo (Strasbourg) Sarr (Watford) Koulibaly (Chelsea) na kuna wengine hawajaitwa lakini wapo Ulaya.

Ndo maana Edo alisema akiitwa Sakho timu ya Taifa anaacha kazi kwasababu alisema Senegal ina wachezaji wakubwa wanaocheza Ulaya.

Halafu unalinganisha Kongo, Mali, Burkinafaso kwa Senegal..?! Mkiambiwa wenye akili ni Sunday na Kikwete wengine nyie hamnazo kaeni kimya.
 
Unajua wivu ukizidi sana mpk heshima nayo hushuka...
 
Sasa hilo li Edo limeshaacha kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…