Paper imevuja/ a.k.a fake

da nakumbuka wakati nasoma Nyakato sec,ilikua inakubalika kwa mapractical pekee..wanafunz toka Iungo,Mugeza,kahororo na omumwani walikua watukabari.ila kisa ninachokumbuka kipindi niko A level nilitumiwa maswali feki a.k.a posibo usiku uleule nikampigia dogo wa mchizi wangu (alikua anasoma form 4) nikampa maswali na majibu..akakomaa kinoma kesho yake akakuta ni feki haswaa hamna swali hata moja! Matokeo yalipotoka akapata div 4,hadi ninapoongea sijawahi kwenda kwao na kutokana na aibu iliyonikuta naogopa kupokea simu yake.
 

Ulimnywesha sumu.
 
Pepa ya geo fm 4 2008, ilivuja mikoa yote,kitu cha Soil profile, cha ajabu Dar walikuja kutubadilishia paper asubuh. Watu walitambaa na D za hatari.
 
vichwa huwa hawajitangazi mkuu!


Kijana walk the talk...
 
Mi nlikuwa kichwa ikitoka paper naletewa niwafanyie niwape majibu,nilikuwa sihangaiki kabisa


as a general rule wahaya wanajisifia imekua hivyo mpka leo.sasa with exception to that ww utakua muhaya kama sio basi una mambo ya kitoto.ooh mie nilikua hivi ooh mie nina hiki ooh mie najua hili so what?kama uliwasaidia mpaka tujue?usije sema naleta ukabila huo ni ubinafsi na majungu mpaka maofisini.mzushi mkubwa eti ulikua unawasaidia kilaza mkubwa ndo ulikua unawapa sumu na vijana wa watu hawana maziwa kutoa hizo sumu.but in the other side u might be right coz wote darasa lenu lilikua la vilaza si ndo lile la BWABUKI BUKOBA mlikua 23 sasa kwenye vilaza wewe ndo ukawa unaonekana unajua yani kwa kifupi mwenye chongo ni afadhali kuliko kipofu
 
Sasa kama wote mlikuwa vichwa nanai alikuwa ****....
 
maisha yangu yote ya shule nimekua nikipewa tango pori...naisi kitu cha ukweli hakunaga.
 
hivi ile pepa ya form6 ilikuwa ngumu? Au nimajibu ndio yalitoka yakawa yanatisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…