Tukaaminije kwamba ni kweli,na sio habari ya kuzusha?
WELL, hapo ni uzembe wa usimamizi,hawakukagua vitambulisho mlangoni wakati wa kuingia kwenye chumba cha mtihani kwa wanafunzi, wangekuwa wanakagua, asingeweza fanya mtihani hata mmoja.uzembe ni wa shule hiyo na usimamizi wote!