SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,944
- 2,032
Mida fulani ya alasiri nilikuwa nikisikiliza wimbo wa huyu muimbaji ambaye kwa sasa yuko kifunguni,nilimuwaza sana na nikahisi angekuwepo muda huu huku urain basi angekuwa akitoa upinzan wa kutosha kwa mkali mwengine anayekimbiza huku kitaani,hivi unafikiri kwa hawa wakali wawili ungewekwa mchuano we ungempigia nan kura kati ya papii kocha na bela karibu MWANA JAMII FORUM ufunguke.