Parade la kifalme london: hakuna askri mwenye kitambi kama makomandoo wa tanzania

Parade la kifalme london: hakuna askri mwenye kitambi kama makomandoo wa tanzania

Nb. Uliowaona ni wachache tu miongoni mwa wengi. Juzi kati nilikua katika post Moja ya vita ya Vietnam. Marekani mmoja analalamika kwamba askari wengi wa Marekani wamekuwa na unene usiolivutia jeshi lao
 
Jeshi la wananchi tz ni la kwanza duniani Kwa kuwa na makomando wakakamavu na Kila linapopelekwa Huwa linashinda vita.mfano lebanoni na Comoro moto ulikuwa unawashwa ni zaidi ya Ukraine na urusi.Tukiwa kwenye kahawa mwanajeshi mmoja mstaafu alikuwa akisimulia.
 
Waingereza wanahistoria ngumu sana Ulaya, ndio maana wako standby muda wote.

Kama sio ukakamavu, uzalendo na uaminifu wa askari wake Manazi wangekuwa London siku nyingi na inawezekana kuna mahala UK wangekumbwa na baa la njaa, maana moja ya strategy ya Manazi ilikuwa kuwakatia supply baharini UK kupitia U-boats zao.
 
Askari wetu ni vigunia na hawaaminiki kabisa vita ikitokea we tayrisha panga lako.
Screenshot_2024-06-15-16-23-03-69_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-06-15-16-22-40-96_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-06-15-16-22-51-89_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-06-15-16-23-13-08_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-06-15-16-25-09-87_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Ni sherehe ya siku ya kuzaliwa mfalme wa UK na parade linaongozwa na askari wa uskochi wote wako poa sioni vilibatumbo wala kitambo mbonyea kama wale jamaa

USSR
Kwa kweli fatilia tena mkuu mavitambi huko yapo makubwa makubwa hata kuhema hawawezi angalia mtandaoni na mpaka ripoti ya kushamiri kwa vitambi katika jeshi lao ipo.
 
Ni sherehe ya siku ya kuzaliwa mfalme wa UK na parade linaongozwa na askari wa uskochi wote wako poa sioni vilibatumbo wala kitambo mbonyea kama wale jamaa

USSR
Nimeshawaona wanajeshi wenye vitambi, lakini sina uhakika kama kuna Askari komandoo JWTZ mwenye kitambi.
 
Nimeshawaona wanajeshi wenye vitambi, lakini sina uhakika kama kuna Askari komandoo JWTZ mwenye kitambi.
Kuna maonyesho flani hivi alionekana mwanajeshi komandoo ana kitambi na wepesi wa hali ya juu nafikri ndio walipata pa kusemea hapo kwa huyo tu
 
Kuna maonyesho flani hivi alionekana mwanajeshi komandoo ana kitambi na wepesi wa hali ya juu nafikri ndio walipata pa kusemea hapo kwa huyo tu
Kumbe vitambi haviwakwamishi kutekeleza majukumu yao? Basi acha tu wawe navyo ingawa haviwapendezei!
 
Kabisa suala ni huwa haileti picha askari kuwa na vitambi ila wale jamaa unaweza kuta ana kitambi ila fanya toa ntoe na yeye uone kama utampata ,,
Wanakua na wepesi wa kiaskari vile vile
Wewe ni mmoja wao?

"Toa ntoe" ni lugha gani mkuu? Misamiati kama ya Kiswahili lakini lugha kama si Kiswahili.
 
Wewe ni mmoja wao?

"Toa ntoe" ni lugha gani mkuu? Misamiati kama wa Kiswahili lakini lugha kama si Kiswahili.
Hapana ni lugha ya mtaani kabisa mfano" nilimkimbiza mwizi toa ntoe" ukimaanisha nilimkimbiza mwizi hatua kwa hatua akipiga hatua ninae kila analofanya unae ndio maana halisi ya hilo neno na si vinginevyo., Wasalaam
 
Comoro walifika waasi wamesepa
Sidhani sana kama uko sahihi , nafikiri waasi walikuwepo hata baada ya vikosi vya umoja kuwasili kisiwani Anjouan na kwa kiasi fulani walileta upinzani wa kimapigano kabla ya kuzidiwa na kukimbia uwanja wa mapigano ,

Unaweza pata video you tube zipo nyingi tu ila uvumilie makelele ya askari wa Comoro🤣
 
Hapana ni lugha ya mtaani kabisa mfano" nilimkimbiza mwizi toa ntoe" ukimaanisha nilimkimbiza mwizi hatua kwa hatua akipiga hatua ninae kila analofanya unae ndio maana halisi ya hilo neno na si vinginevyo., Wasalaam
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom