Paramount Chief Thomas Marealle katika nyaraka za Rajabu Ibrahim Kirama 1950s

Home-cooked garbage.
Schmidt,
Mimi nimesoma elimu ya mnakasha, yaani mijadala kwa Sheikh Haruna.
Huyu alikuwa mwalimu wa madrasa ambayo wewe umeiandika kwa dharau na kejeli.

Kanifunza mengi na mojawapo ni adabu.
Adabu akikusudia kuwa watu hawatukanani katika kujadili masomo ya kielm.

Sheikh Haruna alikuwa anasema ukiona mtu anakimbilia matusi jua ameshindwa na hapana haja ya kuendelea na yeye katika mjadala kwani matusi hayajibiwi.
 
Quit the BS, Mzee MS. Only fools would believe any of your tales , spins and half-truths.
Schmidt,
Hapana huu uwanja uko huru kwa yeyote kuchangia fikra zake.
Sasa wewe kunifukuza kuwa nisiwepo hapa barzani si haki.

Anaetakiwa kujiondoa hapa ni wewe si mie.
Wewe ndiyo hupendezewi na kalamu yangu.

Huna haja ya kujiumiza bure na ukawa unatukana.
Unachotakiwa kufanya ni kuacha kunisoma.

Ikiwa wewe huamini haya niandikayo hapana ugomvi wako wanaoelemika na kalamu yangu.
 
Let’s agree on one simple thing: You’re a fake historian, Mzee MS. You can never be taken seriously in anything you write. You’re a fraudster. A pretender.
 
Let’s agree on one simple thing: You’re a fake historian, Mzee MS. You can never be taken seriously in anything you write. You’re a fraudster. A pretender.
Schmidt,
Mimi sina tatizo na unavyoniona.
Pokea zawadi hii ndogo hapo chini kutoka kwangu:



Hii ni baraza ya nyumba ya marehemu Ali Msham.
Nyumba hii iko Mtaa wa Jaribu na Uweje, Magomeni Mapipa.

Kwenye baraza hii ukiangalia vizuri utaona kuna meza zimepinduliwa.
Nyakati za mchana hapo panapigwa pasi nguo.

Nyumba hii ilikuwa moja ya matawi ya TANU na tawi hili alifungua mwenyewe mwenye nyumba Ali Msham mwaka wa 1954.

Ali Msham katika nyumba hii alimfungulia Mama Maria Nyerere duka la kuuza mafuta ya taa.

Wakati huu Mwalimu Nyerere alikuwa anaishi Magomeni Maduka Sita.

Kwenye baraza hii walikaa masheikh kufanya dua wakati Mwalimu Nyerere anakwenda UNO safari ya kwanza mwezi Februari 1955.

Kuzunguka nyumba hii siku hiyo kulikuwa na umati mkubwa wa watu waliokuja kushiriki katika dua hii.

Ali Mshama ni huyo aliyesimama kushoto mwenye shati jeusi akiwa na wanachama wa TANU katika mkutano wa ndani uani nyumbani kwake.
 
Schmidt,
Mimi sina tatizo na unavyoniona.
Sawa Mzee MS. Kubali kwa umri wako wewe ni sawa na chawa tu wa akina Sykes. Upo kichawa zaidi Mzee wangu, kwa hiyo familia. Huna lolote la maana unaloandika zaidi ya kuwasifia Sykes na kuendekeza udini.
 
Hizi liberal inclined colleges and universities in the US huwa wanawaalika trending individuals kwenye fields mbalimbali toka dunia nzima wenye mitazamo mbadala ya ile iliyo rasmi kwenye seminars and lectures kwa manufaa ya wanafunzi wao, lakini haimaanishi wewe kualikwa huko North Western University kunakufanya uwe World Class Scholar. Hao Wanafunzi bado inabidi wachambue mbivu na mbichi. Hilo ndilo lengo lao hao Wazungu kukualika huko.
 
Schmidt,
Hapana tatizo ndugu yangu.
 
Historia ya wachaga itaandikwa na wachaga wenyeww na historia ya waswahili itaandikwa na waswahili wenyewe kila mtu aandike historia yake
 
Sawa Mzee MS. Kubali kwa umri wako wewe ni sawa na chawa tu wa akina Sykes. Upo kichawa zaidi Mzee wangu, kwa hiyo familia. Huna lolote la maana unaloandika zaidi ya kuwasifia Sykes na kuendekeza udini.
Schmidt,
Hakuna tatizo.
Umekasirika sana.

Mwaka wa 1988 niliandika makala ''In Praise of Ancestors,'' katika jarida moja likiitwa Africa Events (AE) likichapwa London.

Katika makala ile nilimtaja Abdul na Ally Sykes katika historia ya TANU.
Nikaitaja TAA na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Toleo zima la gazeti hili likakusanywa.
Makala chache sana ziliweza kupenywa na kusomwa.

Toleo lililofuatia Dr. Mayanja Kiwanuka kutoka Makao Makuu ya CCM, Dodoma akatoa jibu la makala yangu akiwa kahamaki kweli kweli.

Dr. Kiwanuka alinitukana akaniita mbilikimo.
Leo wewe umeniita, ''chawa.''

Mwalimu wangu Sheikh Haruna kanifunza anasema ukitukanwa hurudishi tusi unanyamaza.
Historia ya wachaga itaandikwa na wachaga wenyeww na historia ya waswahili itaandikwa na waswahili wenyewe kila mtu aandike historia yake

 
Historia ya wachaga itaandikwa na wachaga wenyeww na historia ya waswahili itaandikwa na waswahili wenyewe kila mtu aandike historia yake
Mdukuzi,
Soma hapo chini niliyoandika katika kitabu cha Rajabu Ibrahim Kirama (2020):

''Historia ya Wachagga imeandikwa kwenye upeo wa hali ya juu na Wazungu kiasi cha kumstaajabisha msomaji inawezekanaje kwa Mzungu kutoka Ulaya mtu mgeni kuijua historia kwa undani wa kiasi kuweza kueleza mambo yaliyotokea miaka mingi sana iliyopita.

Mwandishi kama Mwingereza Charles Dundas ameandika historia ya Wachagga kwa kiwango cha kustaajabisha na kueleza mengi ambayo mtu tabu hata kuyafikiri achilia mbali kuyajua hadi awe ameyasoma.

Wachagga wana hulka pale wanapompenda mgeni basi watampa lakabu inayoendana na heshima ya kabila lao.

Charles Dundas walimwita, Wasaoye-o-Wachagga, yaani Mzee wa Kichagga.

Historia ya Muro Mboyo aliyeishi Machame katika miaka ya katikati ya karne ya 19 imeishi katika simulizi za ukoo wake unaofahamika kama ukoo wa Nkya ikipokelewa kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine kwa miaka inayofikia 200 kama ilivyoelezwa.

Historia hii haikupata kuandikwa popote kwa nia ya kuwa historia hiyo inaandikwa ili ije kusomwa.

Hata hivyo mtoto wake, Kirama Mboyo ameacha utajiri mkubwa wa nyaraka zilizoandikwa kwa mkono na nyingine zimepigwa chapa zinozoeleza historia ya babu zake waliomtangulia kiasi cha miaka 100 nyuma na kueleza pia historia yake mwenyewe pale ilipoingia karne ya 20.

Baadhi ya nyaraka hizi ziko katika mfano wa barua, taarifa na maelezo ya kawaida zina tarehe na zipo nyingine hazina tarehe wala jina la mwandishi.

Muhimu ni kuwa kumbukumbu hizi zinaeleza historia muhimu sana ya takriban miaka 200 nyuma ya Wachagga wa Machame na sehemu nyingine za jirani ambao walikuja kuwa Waislam wa kwanza Uchaggani.''

Mimi si Mchagga na nimeandika historia ya Wachagga.
Charles Dundas Mzungu na kaandika historia ya Wachagga.

Uzinduzi wa kitabu cha Maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama, Muslim University of Morogoro ''book signing.''
 
Kwahiyo unataka kusema hakupewa support na mamangi wengine maana juzi kutawazwa Samia Kilimanjaro tumeonyeshwa mamangi wengi Uchaggani! Sidhani kama mzee Kirama alikuwa na influence Uchaggani kote mbali na Machame! Na hata kama walikuwa wamenyongwa na Wajerumani ikumbukwe Wajerumani walikuwa Tanganyika mpaka 1918 tu na Waingereza walirudisha Umangi kupitia Chieftancy! BTW Wajerumani walinyonga Wamangi wote Uchaggani na around Tanganyika watemi na machifu!
 

Uongo.
 
Mkuu unayo hazina ya historia, ila unachanganya na udini
 
Who is shekhi Haruna?

You have minimized your world kama chungu

Can’t even extend beyond your virtual wings
 
kwahiyo unataka kusema hakupewa support na mamangi wengine maana juzi kutawazwa Samia Kilimanjaro tumeonyeshwa mamangi wengi Uchaggani! Sidhani kama mzee Kirama alikuwa na influence Uchaggani kote!
Geza...
Mzee Rajabu Ibrahim Kirama alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii ya Waislam wa Uchaggani katika sehemu zile ambazo walikuwapo Waislam.

Katika uchaguzi wowote kura hata moja ni muhimu kwa kuwa kura moja inaweza kuzaa kumi.
Mwanasiasa yeyote hapuuzi kura.

Thomas Marealle aliposhinda alikwenda Machame Nkuu kutoa shukurani zake kwa Mzee Rajabu.

Angalia picha hiyo hapo chini huyo aliyevaa kanzu na kilemba ndiye Mzee Rajabu Ibrahim Kirama na pembeni yake ni Mangi Mkuu Thomas Marealle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…