Kweli dada mkuu,
Katika hii dunia, kila mtu ana level fulani ya ukichaa ila kuna wale ambao wamepitiliza na kuwa machizi kabisa!!
Babu DC
Kongosho unauliza kukutwa unatokea guest ni kucheat ? Sio kucheat as well, but unaweza kua commited guilty due ushahidi wa kimazingira ! Nilishakuta violence pahala mwanamke kabambwa anatokea guest. Utetezi wake alidai alikwenda kutafuta chenji ! Inahusu ? Chenji guest ?
Si lazima kweli alikuwa kaenda kucheat
Lakini kwa sababu mwenza wake ni paranoid to a certain level
Ndo maana alianza kuuliza kulikoni.
Paranoia ingekuwa 0% asingeuliza chochote angamini tu kuna sababu ya msingi iliyomfanya huyo mtu kwenda hapo na sio cheating.
Kongosho huwezi kuwa paranoid kidogo, either you are or you are not. Kuwa paranoid kunakusanya tabia tofauti pamoja. Unayozungumzia wewe naitambua kama kuwa "makini/alert". Kuwa makini ni tofauti na kuwa paranoid, kwasababu ukiwa makini hukurupuki na kulaumu/shutumu hata sehemu unayoona kabisa hamna tatizo.Dah, nakubaliana na Lizzy, paranoia inaharibu kabisa mahusiano.
Hasa pale ambapo paranoid kapenda.
Kila kitu kama unafanya, fanya kwa kiasi ukizidisha inakuwa tatizo.
Na hii inakuwa na atharui kubwa zaidi ambapo mwanamke anakuwa paranoid kwa mwanamme
Kama ujuavyo, mwanamme hapendi kuwa possesed, ukianza kum-possess tu anatimka na kuacha vumbi kama treni.
Lakini paranoia, lazima iwepo japo kidogo tu jamani, kosa hili ni kama la hausi gelo kula mboga jikoni halimfukuzishi kazi.lol
Lizzy,
Haya mambo siyo rahisi hata kidogo,
It all begins and ends with you, only you......!!
Kwani kama wewe mwenyewe ni mwizi bazi lazima utakuwa na hisia kwamba na wewe pia unaibiwa!!
Hatua za kuchukua baada ya hapo ndio tunakuwa mbayu wayu!!
Babu DC!
Kwanza za asubuhi, mimi ningekuomba japo unipe hints due early stage diagnosis of that disease !
Hayo ni maradhi ya kimalezi,yanatibika kwa ushauri,tatizo mtu mwenye maradhi haya hajui kama anayo mpaka akutane na mtaalamu wa saikolojia!So ushauri kwa hawa ni kuwakutanisha na madaktari hawa wa saikolojia!
mwanaume anatakiwa aishi kiuanaume
na sifa kubwa ya mwanaume anatakiwa awe na confidence
mi maswali kama.ulikuwa wapi? nani kapiga simu? yule kwenye picha nani? na maugovi ya wivuwivu kwenye mahusiano na malawama yasiyo na sababu siwezi kuvumilia
hapo lazima red card itembee
mtu akiamua kuwa mbaya kwenye mahusiano anakuwa tu.ni ngumu kujua especially na hzi teknologia
SO CONFIDENCE NA UHUSIANO NI KITU MUHIMU SANA
NAOMBA MSINIJADILI
:focus:
Kutokua na imani na mtu/watu kwa kiasi kikubwa, kuamini kitu ambacho hakipo, wivu usio na kipimo, woga/hofu/wasiwasi juu ya kitu ambacho hakipo. . . . kwa kifupi ni watu ambao ni very delusional.
Samahani sana ndugu,
Kwani huo ugonjwa una level moja tu? Hakuna wale ambao hali yao ni mild na wale ambao ni serious?
Ni ugonjwa kitaalamu/tabia kimazoea. . ..
Paranoia ni kitendo cha mtu kuwa na tabia ya kuwa na wasiwasi,hofu, shaka, na kutoamini mtu mwingine bila sababu ya msingi/ushahidi. Na mara nyingi hua inasukumwa na wivu uliopitiliza kiasi pia kukosa uelewa.
Kabisa kabisa without TRUST a relationhip is doomed to fail....Hakuna anaye kataa hapo.
Afadhali afadhali leo umekuja na point nzuri sanai.
But trust comes upon fidelity, honesty, and openness.
Smart people don't just trust blindly. Stupid people do.
Ahsante Lizzy,
Mie toka mwanzo nilidhani tunaongelea paranoia katika perspectives za watu wa kawaida...
Kumbe ni kitaalamu....Basi hao ni wagonjwa na wenzi wao wawasaidie wakatibiwe.
Ningesema wawapige chini ila kumwacha mwenzi wako katika ugonjwa ni dhambi kubwa sana!!
Babu DC!
...i doubt hiyo ya kutokuwa na sababu ya msingi,...mfano; nikiwa na lock simu yangu, nikirudi nyumbani straight najifungia bafuni kukoga, naacha tendo la ndoa makusudi, nk, nk....sitakujengea paranoia? weee Lizzy wee...lol
@Lizzy
Sasa umenipa kazi ya kwenda kusoma kitu hii kinagaubaga
Naona kama siifahamu vizuri hasa baada ya kusema ipo hadi inayotibiwa kwa dawa!!