shirima Mathias
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 451
- 1,333
Hii ni mada ya madocta waliosoma tena wakaelimika, hivo ngumbaro piteni hivi
Inasemekana huu ni ugonjwa ambao unamuwehua mtu bila kupenda, yaani unajikuta kichaa bila kupenda paranoid shizophenia
Nini kinachofanyika?
Ni mtu/ au binadamu unachukuliwa na kufungiwa kwenye chumba cha peke yako na kisha unaleweshwa kwa muda (hata mwezi mmoja) na baada ya hapo unawashiwa taa masaa yote na hivyo kushindwa kutambua usiku wala mchana.
Ikisha gundulika ubongo umeathirika watakuwekea TV na kuanza kukuonyesha vipindi au sinema za zamani mf Hotuba za mwalimu, au miziki ya zamani kuonyesha kama ndio imetoka jana. Yaani unaweza kuwekewa wimbo wa mbaraka mwinshehe,michael Jackson, tupac na nyinginezo na ukadhanishwa ndio zimetoka jana au juzi, na kwa vile ubongo umeshajiharibikia unajikuta unaamini.
Hilo ndilo gonjwa la PARANOID SHIZOPHENIA linavyotengenezwa.
Mlale na muamke kwa amani
WAPEKEYE
Inasemekana huu ni ugonjwa ambao unamuwehua mtu bila kupenda, yaani unajikuta kichaa bila kupenda paranoid shizophenia
Nini kinachofanyika?
Ni mtu/ au binadamu unachukuliwa na kufungiwa kwenye chumba cha peke yako na kisha unaleweshwa kwa muda (hata mwezi mmoja) na baada ya hapo unawashiwa taa masaa yote na hivyo kushindwa kutambua usiku wala mchana.
Ikisha gundulika ubongo umeathirika watakuwekea TV na kuanza kukuonyesha vipindi au sinema za zamani mf Hotuba za mwalimu, au miziki ya zamani kuonyesha kama ndio imetoka jana. Yaani unaweza kuwekewa wimbo wa mbaraka mwinshehe,michael Jackson, tupac na nyinginezo na ukadhanishwa ndio zimetoka jana au juzi, na kwa vile ubongo umeshajiharibikia unajikuta unaamini.
Hilo ndilo gonjwa la PARANOID SHIZOPHENIA linavyotengenezwa.
Mlale na muamke kwa amani
WAPEKEYE