Last Seen JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 229 Reaction score 566 Jan 2, 2022 #1 Staa wa Klab ya PSG na Argentina amegundulika ana mambukizi ya ugonjwa wa uviko-19 na klabu yake imethibitisha leo. Staa huyo tayari ashajitenga na kuna uwezekano akakosa mchezo wa French Cup dhidi ya cannes.
Staa wa Klab ya PSG na Argentina amegundulika ana mambukizi ya ugonjwa wa uviko-19 na klabu yake imethibitisha leo. Staa huyo tayari ashajitenga na kuna uwezekano akakosa mchezo wa French Cup dhidi ya cannes.
NAWATAFUNA JF-Expert Member Joined Nov 14, 2019 Posts 13,284 Reaction score 24,047 Jan 2, 2022 #2 Iyo kawaida kwa sasa,Uvico ni janga la Dunia.